IQNA

Ufunguzi wa Mkutano wa 37 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu Iran + PICHA

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 37 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu limeanza leo, jijini Tehran kwa hotuba ya Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.