Alisoma aya ya 5 ya Surah Al-Qasas na 105 ya Surah Al-Anbiya.
Aya ya 5 ya Sura Al-Qasas: “Na tukataka kuwafadhili walio dhoofishwa katika nchi hiyo na kuwafanya wawe waongozi na kuwafanya ni warithi."
Aya ya 105 ya Surah Al-Anbiya: “Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema."