IQNA

Shule zafunguliwa duniani huku janga la corona likiwepo

Serikali katika maeneo mbali mbali duniani zimeafiki kufunguliwa shule na vituo vya elimu kwa sharti la kuzingatia kanuni za afya miezi saba baada ya kufunguwa kutokana na janga la corona.
 
 
Kishikizo: shule ، Corona