Harakati za Qur'ani
IQNA - Shule ya kuhifadhi Qur'ani imezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kutoa mafunzo kwa wahifadhi mia moja wa Qur'ani kila mwaka.
Habari ID: 3479937 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22
Waislamu
IQNA - Shule ya Kiislamu kusini-mashariki mwa Ufaransa imewasilisha kesi mahakamani dhidi ya mbunge kwa kuibua uzushi dhidi ya shule hiyo
Habari ID: 3479915 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Haki za Waislamu
IQNA – Shule ya Oshwal Academy nchini Kenya meamriwa na Mahakama Kuu kuwaruhusu wanafunzi wa Kiislamu kuswali Swala ya Adhuhuri ndani ya shule hiyo.
Habari ID: 3479889 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10
Qur'ani na Palestina
IQNA - Programu khitma ya Qur'ani zilifanyika Jumatatu katika shule zaidi ya 20,000 nchini Iran na nchi kadhaa duaniani kuwakumbuka mashahidi mabarobaro Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478660 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09
Jinai za Israel
RABAT (IQNA) - Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi, na Utamaduni (ISESCO) limetoa tamko kali siku ya likilaani mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya shule mbili kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kuwa ni "fedheha kwa ubinadamu" na "uhalifu wa kutisha".
Habari ID: 3477917 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20
TEHRAN (IQNA)- Shule moja nchini Uingereza imewalisha wanafunzi Waislamu nyama ya nguruwe jambo ambalo limeibua hasira kali miongoni mwa wazazi.
Habari ID: 3475266 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19
TEHRAN (IQNA)- Watoto wa shule moja ya Kiislamu wametkewa nyara na watu wasuojulikana ambao walishambulia shule yao katikati mwa Nigeria.
Habari ID: 3473964 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31
Serikali katika maeneo mbali mbali duniani zimeafiki kufunguliwa shule na vituo vya elimu kwa sharti la kuzingatia kanuni za afya miezi saba baada ya kufunguwa kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3473139 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/05
TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti Kitaifawa Baraza la Maimamu na Wahubiri Waislamu Kenya (CIPK) Sheikh Abdalla Ateka ametoa wito kwa wizara ya elimu nchini humo kuchukua hatua za kuzuia kuendelea kubaguliwa wanafunzi Waislamu katika shule za nchi hiyo.
Habari ID: 3471608 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/26
TEHRAN (IQNA)-Baraza Kuu la Waislamu Kenya , Supkem, limetoa wito kwa serikali kuchukua hatua za kuzuia kusumbuliwa wasichana Waislamu wanaovaa Hijabu wakiwa shule ni.
Habari ID: 3471334 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/31
TEHRAN (IQNA)_Wakaguzi wa shule nchini Uingereza wametakiwa kuwasaili wasichana Waislamu katika shule za msingi iwapo watapatikana wamevaa mtandio au vazi la Hijabu wakiwa shule ni.
Habari ID: 3471271 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/20
TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Jimbo la Sokoto nchini Nigeria imezijumuisha madrassah 4,000 za Qur'ani katika mfumo rasmi wa elimu.
Habari ID: 3471168 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/12
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Kenya wanaendelea kujadili mtaala katika shule za Kiislamu maarufu kama Madrassah huku kukitolewa tahadhari ya kuingizwa misimamo mikali ya kidini katika mtaala huo.
Habari ID: 3471032 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/23
IQNA: Iran imealika nchi 70 kushiriki katika Mashindano ya Tano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya wanafunzi wa shule .
Habari ID: 3470846 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/12
Mjumbe katika Baraza la Kaunti ya mji wa Kisumu magharibi mwa Kenya amekosoa uamuzi wa Mahakama Kuu kuwapiga marufuku wanafunzi Waislamu katika Kaunti ya Isiolo kuvaa Hijabu.
Habari ID: 2968360 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/12