Vizazi kwa vizazi vimekuwa vikipokezana utamaduni huu ambao huhuishwa katika miji mbali mbali ya Palestina, ikiwemo sehemu kongwe ya Mji wa Quds (Jerusalem). Taa hizi huwa kubwa na ndogo zikiwa na anuai ya mapambo na nakshi za rangi mbali mbali na muhimu zaidi ni maandishi aya za Qur’ani Tukufu