IQNA

Swala ya Idul Fitr maeneo mbali mbali ya dunia

Baada ya kumalizika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, mwezi wa saumu, ibada na kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, Waislamu katika maeneo mbali mbali wameshiriki katika Swala ya Idul Fitr.