IQNA

Wafanya ziara ya Arobaini waanza kuelekea Karbala wakitokea kusini mwa Iraq

Idadi kubwa ya wapenzi na waombolezaji wa Imam Hussein AS wameanza kutembea kwa miguu kutoka maeneo ya kusini mwa Iraq wakielekea Karbala kwa ajili ya maadhimisho ya Arobaini ya mtukufu huyo katika mwezi huu wa Safar.
 
 
Kishikizo: arobaini ، imam hussein as ، karbala