IQNA – Pamoja na kuwasili kwa mimu wa huzuni katika mwezi wa Muharram, mitaa inayoelekea kwenye makaburi matakatifu ya Imam Hussein (AS) na Hazrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imeanza kushuhudia maombolezo makubwa.
Habari ID: 3480865 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28
IQNA-Taasisi ya Dar-ol-Quran ya Idara ya Mfawidhi wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) imetangaza kuanza kwa raundi ya pili katika hatua ya awali ya Tuzo ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Karbala.
Habari ID: 3480644 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06
IQNA – Idara ya Masuala ya Kiutamaduni na Kielimu ya Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza kukamilika kwa zoezi la kuorodhesha hati 2,000 adimu zilizohifadhiwa katika maktaba yake.
Habari ID: 3480625 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wa vyombo vya habari kutoka Italia, uliotembelea taasisi kadhaa chini ya Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), huko Karbala, Iraq umesifu huduma za kisasa zinazotolewa na idara hiyo katika nyanja mbalimbali, hasa afya na elimu.
Habari ID: 3480622 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Wanaharakati wa Qur'ani kutoka nchi 50 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika toleo la nne la shindano la kimataifa la Qur'ani huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480616 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA – Auno Saarela, balozi wa Ufini (Finland) nchini Iraq, hivi karibuni alitembelea Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, ambapo alishiriki tajiriba yake ya kuvaa hijabu.
Habari ID: 3480609 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Mamlaka ya Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala imewatambua waliofanikisha mikusanyiko ya Qur'ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480502 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Kituo cha Qur'ani cha Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimezindua toleo la tatu la mpango wake maalum wa Qur'ani kwa watoto na vijana katika eneo la Bainul Haramayn, Karbala.
Habari ID: 3480371 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14
IQNA – Nakala ya Qur'ani ya kipekee iliyoandikwa kwa mkono na Wafanyaziara wa Arbaeen inaonyeshwa katika banda la Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kwenye Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3480359 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12
IQNA – Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, imezindua Msahafu wa katika hafla iliyofanyika siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3480322 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07
IQNA – Qari Rahim Sharifi kutoka Iran alisoma Qur’ani katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Kisomo cha Qur’an la Al-Ameed, ambalo linaendelea katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq. Sharifi anatoka mji wa Ramhormoz katika mkoa wa kusini-magharibi wa Khuzestan.
Habari ID: 3480311 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05
IQNA – Raundi ya mwisho ya toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji wa Qurani ya Al-Ameed ilizinduliwa katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480295 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Zaidi ya wafanyaziara milioni tano kutoka Iraq na nchi nyingine walitembelea mji mtakatifu wa Karbala kwa ajili ya Idi ya Shaaban Ijumaa, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3480223 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/15
IQNA – Kituo cha kujifunza Qur'ani kwa wafanyaziara waliofika Karbala wakati wa sherehe za Nisf-Shaaban kilivutia wengi katika mji huo mtukufu.
Habari ID: 3480215 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/14
IQNA – Mkutano wa mashauriano kati ya Dar ol-Quran wa Haram Takatifu wa Imam Hussein (AS) na wanazuoni wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu jijini Najaf ulifanyika ili kujiandaa kwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480026 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
IQNA – Kozi ya pili ya mafunzo kuhusu "Misingi ya Vyombo vya Habari vya Qur'ani" ilifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480021 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Harakati za Qur'ani
IQNA – Mkutano ulifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq, wikendi hii iliyopita kujadili maandalizi ya mwisho kwa ajili ya “Siku ya Dunia ya Qur'ani”.
Habari ID: 3480016 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/07
IQNA – Idadi kubwa ya wafanyaziara walikusanyika katika eneo la Bayn al-Haramayn huko Karbala usiku wa Alhamisi ya kwanza ya mwezi wa Rajab, ikifanana na Laylat al-Raghaib, inayojulikana pia kama Usiku wa Matamanio.
Habari ID: 3479998 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi tatu za kimataifa za mtandaoni zinazojumuisha masomo ya Qur’ani Tukufu zimeandaliwa huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479900 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15