IQNA – Mwamko wa Imam Hussein (AS) haukuwa uasi wa kimageuzi uliotokea na kuishia katika kurasa za historia; bali ulikuwa ni mkondo wa kifikra wenye malengo matukufu na maadili ya kimalakuti yanayovuka mipaka ya zama.
Habari ID: 3482401 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/25
IQNA – Katika jitihada za kuimarisha usalama na kuhakikisha utulivu wakati wa siku tukufu za Tasua na Ashura katika mji mtakatifu wa Karbala, nchini Iraq, jumla ya kamera 2,000 za kisasa (smart cameras) zimewekwa kama sehemu ya mpango maalum wa kiusalama.
Habari ID: 3482392 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/23
IQNA – Katika kuukaribisha mwezi wa Muharram wa kalenda ya Hijria, Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq, imetangaza tarehe ya hafla ya kubadilisha bendera ya kuba la haram hiyo.
Habari ID: 3482364 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/15
IQNA – Kuta na viwanja vya makaburi au haram tukufu za Imam Hussein (AS) na Hadhrat Abbas (AS) katika mji wa Karbala, Iraq, vimepambwa kwa bendera nyeusi na alama za maombolezo huku mwezi wa Muharram wa kalenda ya Hijria ukikaribia.
Habari ID: 3482356 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/13
IQNA – Wawakilishi wote wa Iran katika toleo la tano la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala nchini Iraq wamepata nafasi za juu katika vipengele mbalimbali vya mashindano.
Habari ID: 3482351 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/12
IQNA – Wakati mwezi wa Muharram unavyokaribia, vibali zaidi ya 700 vimetolewa kwa ajili ya kuanzisha maukibu mjini Karbala, kwa lengo la kuwahudumia waombolezaji wa Muharram katika mji huo mtukufu.
Habari ID: 3482348 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/10
IQNA – Idara ya Masuala ya Kifikra na Utamaduni ya Astan au Mamlaka ya Usimamizi ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) iliyopo Karbala, Iraq, imekamilisha kazi kubwa ya urekebishaji wa nakala adimu na yenye thamani ya kipekee ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482331 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/07
IQNA – Uongozi (Mfawidhi) wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) umetangaza utekelezaji wa mradi mkubwa wa ujenzi wa muundo wa zege wa uwanja wa Imam Hassan al-Mujtaba (AS). Mradi huu utatekelezwa kwa jina la “Kutoka Arubaini hadi Arubaini” na unatarajiwa kuzinduliwa mwanzoni mwa mwezi wa Rabi’ al-Awwal 1448 Hijria (Agosti 14, 2026).
Habari ID: 3482273 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/23
IQNA – Makumbusho ya Al‑Kafeel katika mji wa Karbala yameweka hadharani kipande cha chuma cha shaba kilichochongwa aya za Qur’ani Tukufu kama sehemu ya mkusanyo wake wa turathi.
Habari ID: 3482221 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/10
IQNA – Kitengo cha Shughuli za Qur’ani kwa Njia ya Mtandaoni katika Kituo cha Utafiti na Tafiti za Qur’ani kinachohusishwa na Dar‑ul‑Quran ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika mji Karabala, Iraq kimetangaza kusajiliwa kwa khatma 1,605 za Qur’ani zilizofanyika kwa njia ya mtandaoni, zikishirikisha wanawake katika shule na makundi yanayohusishwa na kituo hicho.
Habari ID: 3482124 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/07
IQNA – Ataba (uongozi na usimamizi) wa Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) mjini Karbala, Iraq, umetangaza kukamilika kwa maandalizi yote ya kuandaa hafla ya Khatm Qurani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481963 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20
IQNA – Mutawalli wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) amesisitiza kuwa kulea na kukuza haiba au shakhsia ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu ni msingi wa kujenga jamii kamilifu na yenye fadhila.
Habari ID: 3481935 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14
IQNA – Qari au Msomaji mahiri wa Qur'ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, ameibuka mshindi wa kwanza katika toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3481902 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08
IQNA-Tamasha la kimataifa la Chemchemi ya Shahada limefanyika kwa mara ya 18 katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq mapema wiki hii. Uzinduzi wa tamasha ulifanyika katika Haram ya Imamu Hussein (AS), na kuhudhuriwa na mwakilishi wa kiongozi mkuu wa Washia wa Iraq pamoja na ujumbe kutoka nchi takriban nchi 50.
Habari ID: 3481846 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/25
IQNA-Toleo la nane la tamasha la kimataifa la kitamaduni kwa wanawake, liitwalo ‘Roho ya Unabii’, limezinduliwa mjini Karbala, Iraq, siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3481755 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/02
IQNA – Bibi Zaynab (SA) “ndiye aliyekuwa wa kwanza kukabiliana na upotoshaji kwa kutumia mbinu zinazofanana na zile za vyombo vya habari vya leo—kufichua, kutafsiri upya, na kusimulia tena ukweli,” amesema mtafiti kutoka Iran.
Habari ID: 3481426 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/27
IQNA – Chuo Kikuu cha Al-Ameed kimeandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an yanayojulikana kama “Qur'an Al-Nur”, yakihusisha wanafunzi kutoka zaidi ya vyuo vikuu 60 vya ndani na nje ya Iraq.
Habari ID: 3481375 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/17
IQNA – Mji mtukufu wa Karbala, Iraq, umefurika wafanyaziyara kwa wingi mno katika siku za mwisho ya mwezi wa Safar, kwenye makaburi matukufu ya Imam Hussein (AS) pamoja na ndugu yake, Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3481123 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/23
IQNA – Maonyesho ya sanaa yenye maudhui ya Qur’ani yameandaliwa kando ya njia ya Ziyara ya Arbaeen ili kuonesha thamani za harakati ya Imam Hussein (AS) kupitia kazi za sanaa za kuona.
Habari ID: 3481066 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/10
IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa matembezi Arbaeen yanabeba kanuni muhimu ambazo zinaweza kusaidia kuweka msingi wa kustawishwa upya kwa ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3481064 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/10