IQNA – Mawkib ya kiutamaduni, yaani kituo cha huduma, iliyoanzishwa na Astan, taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Hadhrat Abbas (AS), kwenye njia ya kutoka Najaf hadi Karbala, imepokelewa kwa furaha na mazuwar wa Arbaeen.
Habari ID: 3482574 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02
IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesisitiza umuhimu wa Mawakib za Qur’ani,vituo vya huduma vilivyojengwa kando ya njia ya Arbaeen, katika kukidhi mahitaji ya kiroho na kiutamaduni ya mazuwar
Habari ID: 3482570 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Kutokana na kuwasili kwa mazuwar au wafanyaziara wa Arbaeen, vipindi vya Qur’ani vya Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Imam Ridha (A.S.) vimeanza katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3482561 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Makao Makuu ya Usimamizi wa Ziara ya Arbaeen nchini Iraq yalitangaza siku ya Alhamisi kuwa idadi ya mazuwar au wafanyaziara wa kigeni walioingia nchini humo inakaribia kufikia milioni tatu.
Habari ID: 3482559 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Mkoa wa Karbala nchini Iraq umetangaza likizo rasmi kuanzia Jumatano hadi Jumatatu kwa ajili ya mapokezi na huduma kwa mazuwari wa Arbaeen.
Habari ID: 3482550 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/28
IQNA - Kozi ya Qur’ani imefanyika mjini Karbala, Iraq, kwa lengo la kuimarisha ujuzi wa majaji wanawake wa mashindano ya Qur’ani.
Habari ID: 3482547 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/28
IQNA – Mji mtukufu wa Karbala nchini Iraq unaandaa Kongamano la 5 la Kimataifa la Nidaa al-Aqsa (Wito wa Al-Aqsa).
Habari ID: 3482540 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/26
TEHRAN – Mkuu wa kamati ya kisayansi ya Kongamano la 6 la Kimataifa la “Afya katika Arubaini” ametangaza kuwa jumla ya karatasi za utafiti 500 zimewasilishwa katika sekretarieti ya kongamano hilo.
Habari ID: 3482493 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/15
IQNA – Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) limeandaa tuzo ya 12 ya Kimataifa ya Arbaeen mwaka huu.
Habari ID: 3482480 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/13
IQNA – Mamilioni ya waombolezaji mjini Karbala wameshiriki adhuhuri ya Ijumaa ya Ashura katika msafara mkubwa na wa kihistoria wa Rakdhat Tuwairij.
Habari ID: 3482410 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/27
IQNA – Hafla ya kisomo cha Qur’ani Tukufu imefanyika siku ya Ashura katika mji mtukufu wa Karbala.
Habari ID: 3482407 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/27
IQNA – Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) katika mji wa Karbala nchini Iraq ilijaa mazuwaru usiku wa kuamkia Ashura, ambao uliangukia usiku wa Alhamisi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3482405 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/26
IQNA – Mwamko wa Imam Hussein (AS) haukuwa uasi wa kimageuzi uliotokea na kuishia katika kurasa za historia; bali ulikuwa ni mkondo wa kifikra wenye malengo matukufu na maadili ya kimalakuti yanayovuka mipaka ya zama.
Habari ID: 3482401 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/25
IQNA – Katika jitihada za kuimarisha usalama na kuhakikisha utulivu wakati wa siku tukufu za Tasua na Ashura katika mji mtakatifu wa Karbala, nchini Iraq, jumla ya kamera 2,000 za kisasa (smart cameras) zimewekwa kama sehemu ya mpango maalum wa kiusalama.
Habari ID: 3482392 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/23
IQNA – Katika kuukaribisha mwezi wa Muharram wa kalenda ya Hijria, Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq, imetangaza tarehe ya hafla ya kubadilisha bendera ya kuba la haram hiyo.
Habari ID: 3482364 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/15
IQNA – Kuta na viwanja vya makaburi au haram tukufu za Imam Hussein (AS) na Hadhrat Abbas (AS) katika mji wa Karbala, Iraq, vimepambwa kwa bendera nyeusi na alama za maombolezo huku mwezi wa Muharram wa kalenda ya Hijria ukikaribia.
Habari ID: 3482356 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/13
IQNA – Wawakilishi wote wa Iran katika toleo la tano la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala nchini Iraq wamepata nafasi za juu katika vipengele mbalimbali vya mashindano.
Habari ID: 3482351 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/12
IQNA – Wakati mwezi wa Muharram unavyokaribia, vibali zaidi ya 700 vimetolewa kwa ajili ya kuanzisha maukibu mjini Karbala, kwa lengo la kuwahudumia waombolezaji wa Muharram katika mji huo mtukufu.
Habari ID: 3482348 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/10
IQNA – Idara ya Masuala ya Kifikra na Utamaduni ya Astan au Mamlaka ya Usimamizi ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) iliyopo Karbala, Iraq, imekamilisha kazi kubwa ya urekebishaji wa nakala adimu na yenye thamani ya kipekee ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482331 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/07
IQNA – Uongozi (Mfawidhi) wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) umetangaza utekelezaji wa mradi mkubwa wa ujenzi wa muundo wa zege wa uwanja wa Imam Hassan al-Mujtaba (AS). Mradi huu utatekelezwa kwa jina la “Kutoka Arubaini hadi Arubaini” na unatarajiwa kuzinduliwa mwanzoni mwa mwezi wa Rabi’ al-Awwal 1448 Hijria (Agosti 14, 2026).
Habari ID: 3482273 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/23