IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) iliyopo Najaf, Iraq, imetangaza kuwa inaendelea na maandalizi makubwa kwa ajili ya kuwapokea Wafanyaziyara wengi wanaotarajiwa kufika kwa ziyara ya Arbaeen ijayo.
Habari ID: 3480996 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25
IQNA – Shughuli za Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran mwaka huu nchini Iraq zinatarajiwa kuanza tarehe 5 Agosti, kwa mujibu wa afisa mmoja.
Habari ID: 3480995 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25
IQNA – Warsha ya tatu maalum ya mafunzo kuhusu mbinu mpya za kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza katika Shule ya Zuhair Bin Al-Qain huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480967 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19
IQNA – Maonesho ya kaligrafia ya maandishi ya Kiarabu ya siku tatu yaliyopewa jina "Katika Njia ya Ashura" yamefunguliwa katika eneo tukufu la Bayn al-Haramayn—kati ya makaburi ya Imam Hussein (AS) na Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480948 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15
IQNA – Hijra ya Arbaeen ya mwaka 1447 Hijria imeanza rasmi, huku maelfu ya mahujaji wakiianza safari yao kwa miguu kutoka eneo la Ras al-Bisheh, lililoko kusini kabisa mwa Iraq katika mkoa wa Al-Faw, wakielekea mji mtakatifu wa Karbala.
Habari ID: 3480940 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14
IQNA – Mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa tarteel kwa watoto yamefanyika mjini Karbala, yakiandaliwa na Jumuiya ya Sayansi za Qur’ani ya Haram ya Hazrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480935 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13
IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetoa taarifa mchana wa Jumapili ikitangaza mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa usalama kwa ajili ya maombolezo ya mwaka huu ya Siku ya Ashura mjini Karbala.
Habari ID: 3480913 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07
IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa mwamko wa Imam Hussein (AS) dhidi ya Yazid bin Muawiya unabaki kuwa mfano wa milele wa kupambana na dhulma za zama hizi na uonevu wa kimataifa.
Habari ID: 3480908 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06
IQNA – Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq una nafasi ya kipekee katika mioyo ya watu wote.
Habari ID: 3480907 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06
IQNA-Jumapili ya leo ya tarehe 6 Julai inasadifiana na mwezi kumi Muharram 1447 Hijria, siku ya A'shura ya kukumbuka kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhamma (SAW), mmoja wa mabwana wawili wa vijana wa peponi, Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480905 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06
IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza kukamilika kwa maandalizi katika milango yote ya kuingilia kaburi hilo takatifu kwa ajili ya kuwapokea waumini wanaoshiriki katika tukio la kuomboleza linalojulikana kama Tuwairaj.
Habari ID: 3480899 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05
IQNA – Pamoja na kuwasili kwa mimu wa huzuni katika mwezi wa Muharram, mitaa inayoelekea kwenye makaburi matakatifu ya Imam Hussein (AS) na Hazrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imeanza kushuhudia maombolezo makubwa.
Habari ID: 3480865 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28
IQNA-Taasisi ya Dar-ol-Quran ya Idara ya Mfawidhi wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) imetangaza kuanza kwa raundi ya pili katika hatua ya awali ya Tuzo ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Karbala.
Habari ID: 3480644 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06
IQNA – Idara ya Masuala ya Kiutamaduni na Kielimu ya Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza kukamilika kwa zoezi la kuorodhesha hati 2,000 adimu zilizohifadhiwa katika maktaba yake.
Habari ID: 3480625 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wa vyombo vya habari kutoka Italia, uliotembelea taasisi kadhaa chini ya Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), huko Karbala, Iraq umesifu huduma za kisasa zinazotolewa na idara hiyo katika nyanja mbalimbali, hasa afya na elimu.
Habari ID: 3480622 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Wanaharakati wa Qur'ani kutoka nchi 50 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika toleo la nne la shindano la kimataifa la Qur'ani huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480616 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA – Auno Saarela, balozi wa Ufini (Finland) nchini Iraq, hivi karibuni alitembelea Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, ambapo alishiriki tajiriba yake ya kuvaa hijabu.
Habari ID: 3480609 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Mamlaka ya Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala imewatambua waliofanikisha mikusanyiko ya Qur'ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480502 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Kituo cha Qur'ani cha Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimezindua toleo la tatu la mpango wake maalum wa Qur'ani kwa watoto na vijana katika eneo la Bainul Haramayn, Karbala.
Habari ID: 3480371 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14
IQNA – Nakala ya Qur'ani ya kipekee iliyoandikwa kwa mkono na Wafanyaziara wa Arbaeen inaonyeshwa katika banda la Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kwenye Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3480359 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12