IQNA – Bibi Zaynab (SA) “ndiye aliyekuwa wa kwanza kukabiliana na upotoshaji kwa kutumia mbinu zinazofanana na zile za vyombo vya habari vya leo—kufichua, kutafsiri upya, na kusimulia tena ukweli,” amesema mtafiti kutoka Iran.
                Habari ID: 3481426               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/27
            
                        
        
        IQNA – Chuo Kikuu cha Al-Ameed kimeandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an yanayojulikana kama “Qur'an Al-Nur”, yakihusisha wanafunzi kutoka zaidi ya vyuo vikuu 60 vya ndani na nje ya Iraq.
                Habari ID: 3481375               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/17
            
                        
        
        IQNA – Mji mtukufu wa Karbala, Iraq, umefurika  wafanyaziyara kwa wingi mno katika siku za mwisho ya mwezi wa Safar, kwenye makaburi matukufu ya Imam Hussein (AS) pamoja na ndugu yake, Hadhrat Abbas (AS).
                Habari ID: 3481123               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/08/23
            
                        
        
        IQNA – Maonyesho ya sanaa yenye maudhui ya Qur’ani yameandaliwa kando ya njia ya Ziyara ya Arbaeen ili kuonesha thamani za harakati ya Imam Hussein (AS) kupitia kazi za sanaa za kuona.
                Habari ID: 3481066               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/08/10
            
                        
        
        IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa matembezi Arbaeen yanabeba kanuni muhimu ambazo zinaweza kusaidia kuweka msingi wa kustawishwa upya kwa ustaarabu wa Kiislamu.
                Habari ID: 3481064               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/08/10
            
                        
        
        IQNA – Katika kuonyesha mshikamano wa Waislamu, masheikh wa Kisunni walijumuika Jumamosi jioni kwa swala ya jamaa pamoja na ndugu zao wa Kishia katika Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
                Habari ID: 3481009               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/27
            
                        
        
        IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) iliyopo Najaf, Iraq, imetangaza kuwa inaendelea na maandalizi makubwa kwa ajili ya kuwapokea Wafanyaziyara wengi wanaotarajiwa kufika kwa ziyara ya Arbaeen ijayo.
                Habari ID: 3480996               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/25
            
                        
        
        IQNA – Shughuli za Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran mwaka huu nchini Iraq zinatarajiwa kuanza tarehe 5 Agosti, kwa mujibu wa afisa mmoja.
                Habari ID: 3480995               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/25
            
                        
        
        IQNA – Warsha ya tatu maalum ya mafunzo kuhusu mbinu mpya za kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza katika Shule ya Zuhair Bin Al-Qain huko Karbala, Iraq.
                Habari ID: 3480967               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/19
            
                        
        
        IQNA – Maonesho ya kaligrafia ya maandishi ya Kiarabu ya siku tatu yaliyopewa jina "Katika Njia ya Ashura" yamefunguliwa katika eneo tukufu la Bayn al-Haramayn—kati ya makaburi ya Imam Hussein (AS) na Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq.
                Habari ID: 3480948               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/15
            
                        
        
        IQNA – Hijra ya Arbaeen ya mwaka 1447 Hijria imeanza rasmi, huku maelfu ya mahujaji wakiianza safari yao kwa miguu kutoka eneo la Ras al-Bisheh, lililoko kusini kabisa mwa Iraq katika mkoa wa Al-Faw, wakielekea mji mtakatifu wa Karbala.
                Habari ID: 3480940               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/14
            
                        
        
        IQNA – Mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa tarteel kwa watoto yamefanyika mjini Karbala, yakiandaliwa na Jumuiya ya Sayansi za Qur’ani ya Haram ya Hazrat Abbas (AS).
                Habari ID: 3480935               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/13
            
                        
        
        IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetoa taarifa mchana wa Jumapili ikitangaza mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa usalama kwa ajili ya maombolezo ya mwaka huu ya Siku ya Ashura mjini Karbala.
                Habari ID: 3480913               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/07
            
                        
        
        IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa mwamko wa Imam Hussein (AS) dhidi ya Yazid bin Muawiya unabaki kuwa mfano wa milele wa kupambana na dhulma za zama hizi na uonevu wa kimataifa.
                Habari ID: 3480908               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/06
            
                        
        
        IQNA – Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq una nafasi ya kipekee katika mioyo ya watu wote.
                Habari ID: 3480907               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/06
            
                        
        
        IQNA-Jumapili ya leo ya tarehe 6 Julai inasadifiana na mwezi kumi Muharram 1447 Hijria, siku ya A'shura ya kukumbuka kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhamma (SAW), mmoja wa mabwana wawili wa vijana wa peponi, Imam Hussein (AS).
                Habari ID: 3480905               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/06
            
                        
        
        IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza kukamilika kwa maandalizi katika milango yote ya kuingilia kaburi hilo takatifu  kwa ajili ya kuwapokea waumini wanaoshiriki katika tukio la kuomboleza linalojulikana kama Tuwairaj.
                Habari ID: 3480899               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/05
            
                        
        
        IQNA – Pamoja na kuwasili kwa mimu wa  huzuni katika mwezi wa Muharram, mitaa inayoelekea kwenye makaburi matakatifu ya Imam Hussein (AS) na Hazrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imeanza kushuhudia maombolezo makubwa.
                Habari ID: 3480865               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/06/28
            
                        
        
        IQNA-Taasisi ya Dar-ol-Quran ya Idara ya Mfawidhi wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) imetangaza kuanza kwa raundi ya pili katika hatua ya awali ya Tuzo ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Karbala.
                Habari ID: 3480644               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/05/06
            
                        
        
        IQNA – Idara ya Masuala ya Kiutamaduni na Kielimu ya Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza kukamilika kwa zoezi la kuorodhesha hati 2,000 adimu zilizohifadhiwa katika maktaba yake.
                Habari ID: 3480625               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/05/02