iqna

IQNA

karbala
Harakati za Qur'ani
IQNA - Astan (Mfawidhi) wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, ilimtaja mwandishi mashuhuri wa kaligrafia, Uthman Taha kama shakhsia wa Qur'ani wa mwaka.
Habari ID: 3478413    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/25

NEW DELHI (IQNA) – Maelfu ya Waislamu mjini Mumbai, India, walijiunga na Matembezi ya Arubaini kutoa heshima kwa Imam Hussein (AS) na masahaba wake, licha ya hali ya hewa ya mvua.
Habari ID: 3477576    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/10

KARBALA (IQNA) - Wale wanaohudumu katika moja ya Moukeb kubwa katika mji mtukufu wa Karbala waliwaaga mahujaji waliokuja kwa ajiri ya Ziyara ya Arbaeen kwa kuwapa zawadi ya nakala za Quran Tukufu.
Habari ID: 3477574    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09

KARBALA (IQNA) - Zaidi ya wafanyaziyara milioni 22 walitembelea mji Mtukufu wa Karbala katika msimu wa mwaka huu wa Arubaini hadi sasa.
Habari ID: 3477570    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09

Arbaeen 1445
KARBALA (IQNA) – Kongamano la kwanza la wanaharakati katika uwanja wa Elimu ya Kiislamu litafanyika katika mji mtakatifu wa Karbala wakati wa msimu wa Arabeen.
Habari ID: 3477499    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/26

Arbaeen 1445
BAGHDAD (IQNA) – Wasimamizi wa Haram Takatifu Imam Ali (AS) huko Najaf na Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza mipango ya kuwahudumia wanaozuru maeneo mawili matakatifu wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3477481    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Wafanyaziara milioni 16 wameingia Karbala, Iraq katika siku 10 za kwanza za mwezi wa Muharram mwaka huu wa 1445 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3477358    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Katika siku kama hii ya leo miaka 1384 iliyopita kulingana na kalenda ya Hijria, moja kati ya vita mashuhuri katika historia ya Uislamu na mwanadamu, vilitokea baina ya majeshi ya haki na majeshi ya batili katika ardhi ya Karbala huko Iraq.
Habari ID: 3477348    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28

Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS huko Karbala, Iraq imekabidhiwa nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyopambwa kwa dhahabu na fedha.
Habari ID: 3477028    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq utakuwa mwenyeji wa awamu ya pili ya Maonyesho ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ndani ya wiki chache kuanzia sasa.
Habari ID: 3476364    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaja tukio la kimiujiza la maandamano na matembezi ya Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS kuwa ni ishara ya irada ya Mwenyezi Mungu ya kunyanyua juu bendera ya Uislamu ya Ahlul Bayt-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yao-.
Habari ID: 3475797    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Gavana wa Karbala, Iraq ametangaza kuwa, wafanyaziara kutoka nchi 80 katika maadhimisho ya mwaka huu za Arbaeen mwaka huu wa 1444 Hijria Qamari sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475792    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Wahusika wa Karbala /3
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria au 680 Miladia, mrengo wa haki na ukweli ulikabiliana na mrengo wa batili na uwongo.
Habari ID: 3475784    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14

Wahusika wa Karbala /1
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria Qamaria au 680 Miladia, pande za ukweli zilikabili upande wa batili na uongo.
Habari ID: 3475763    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yamewekwa kwenye barabara kati ya miji mitukufu ya Najaf na Karbala nchini Iraq wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3475761    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa mamlaka za Iraq, zaidi ya wafanyaziarai milioni sita walitembelea maeneo matakatifu ya Karbala siku ya Jumanne, Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475606    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Ashura
TEHRAN (IQNA)- Leo ni Jumatatu tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria Qamaria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2022. Hii ni Siku ya Ashura ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani hukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3475595    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Maombolezo ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Usiku wa kuamkia leo umesadifiana na usiku wa mwezi tisa Mfunguo Nne, Muharram, siku ambayo ni maarufu kwa jina la Tasua ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475590    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07

Ashura
TEHRAN (IQNA) – Mwamko Ashura ni kielelezo cha kipekee cha mapambano dhidi ya mifumo mbovu ya kisiasa na njia mbovu za utawala.
Habari ID: 3475587    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06

TEHRAN (IQNA) Kundi la wasomaji na wanaohifadhi Qur’ani Mauritania wametembelea Haram Takatifu ya Imam Hussein AS mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3474571    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17