Mitaa ya Tehran Imepambwa kwa Taa kwa mnasaba wa Shaabani na Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mitaa na viwanja kadhaa kote Tehran vimepambwa kwa taa kuashiria sherehe za mwezi wa Shaabani na kuukaribisha Mwezi Mtukufu Ramadhani.
copied
https://iqna.ir/H0EaRQ