IQNA

Qiraa

Kisomo cha Mbinguni: Sheikh Abdul Basit akisoma baadhi ya aya za Qur'ani za Sura Maryam

IQNA – Tumsikilize qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad akisoma ya za 28-30 za Surah Maryam

Mtume Muhammad (SAW) alisema wakati mmoja kwamba kuisikiliza Qur'ani Tukufu kunapata thawabu za Mwenyezi Mungu, huku kila herufi ikisikika ikistahiki tendo jema kwa msikilizaji, na kumpandisha msikilizaji katika safu ya wale wanaosoma maandiko matukufu na kupaa kuelekea mbinguni.

Shirika la habari la IQNA limeratibu na kutoa mfululizo unaoitwa "Kisomo cha Mbinguni," yenye kumbukumbu za kuvutia za wasomaji maarufu wa Qur’ani Tukufu.