IQNA

Aya za Maisha: Siku Yenye Shida na Taabu

IQNA- Hakika sisi tunakulisheni kwa wajihi wa Mwenyezi Mungu. Hatutaki kwenu malipo wala shukrani. Hakika sisi tunaiogopa kwa Mola wetu Mlezi hiyo siku yenye shida na taabu. Aya za 9-10 za Surah Al-Insan.