iqna

IQNA

nuhu
Jiografia ya Matukio katika Qur'ani Tukufu /2
IQNA – Kisha cha Nabii Nuh au Nuhu (AS) ni miongoni mwa visa muhimu vilivyotajwa ndani ya Qur'ani Tukufu na kuna sura maalum, Surah Nuh, iliyowekwa kwa ajili ya Mtume huyu wa Mwenyezi Mungu na watu wake.
Habari ID: 3478025    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Nuh/37
TEHRAN (IQNA) – Ujinga na kukataa kufikiri na kutafakari ni uhalifu ambao umesababisha madhara kwa ubinadamu katika historia.
Habari ID: 3477966    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Nuhu/36
TEHRAN (IQNA) – Kama ilivyo katika nyanja nyingine nyingi, kudumisha uendelevu na uthabiti ni muhimu sana kwa mafanikio katika nyanja ya elimu.
Habari ID: 3477927    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/22

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Nabii Nuhu / 35
TEHRAN (IQNA) – Ingawa idadi ya mbinu za kielimu zinazong’aa kama nyota za kuwaongoza watu hazina kikomo, njia ya wema na huruma imeangaziwa zaidi kuliko mbinu zingine zote.
Habari ID: 3477898    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Nabii Nuhu / 34
TEHRAN (IQNA) – Pamoja na mwili wao, wanadamu wana sifa za ndani ambazo zina jukumu kubwa katika ukuaji na harakati zao kwenye njia ya ukamilifu.
Habari ID: 3477840    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/04

Sura za Qur'ani Tukufu / 71
TEHRAN (IQNA) – Hadhrat Nuh alikuwa miongoni mwa Ulul'azm Anbiya (manabii wakuu). Kulingana na riwaya, alimwomba Mwenyezi Mungu ampe wakati wa kuwaongoza watu wake na alipewa takribani miaka 1,000.
Habari ID: 3476871    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15

Shakhsia katika Qur'ani/9
TEHRAN (IQNA) – Katika historia, adhabu mbalimbali zimetumwa na Mwenyezi Mungu kwa wale waliofanya madhambi makubwa. Adhabu ya kwanza kati ya hizo ilikuwa gharika iliyokuja wakati Nuhu (AS) alipokuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475884    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05

Kisa cha Manabii
TEHRAN (IQNA) - Kuna visa au hadithi nyingi katika Qur'ani Tukufu kuhusu Mitume ambazo zinaweza kusomwa kwa mitazamo tofauti. Moja ya vipengele ni jinsi manabii walivyozungumza na Mwenyezi Mungu na kubainisha maombi yao.
Habari ID: 3475734    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04