Rais wa Iran katika Chuo Kikuu cha Peking
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mfumo Mpya wa Utawala wa Dunia unaibuka huku bara la Asia likiwa kitovu chake na kwamba utachukua nafasi ya ule wa awali.
Habari ID: 3476568 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/15