Kwa munasaba wa kuwadia Mwezi wa Muharram
Imam Hussein AS alisema: Mja ambaye atamuabudu Mwenyezi Mungu kama anavyostahiki kuabudiwa, Mwenyezi atampa kilicho zaidi ya alichokiomba. (Mawsuat Kalimat al-Imam al-Hussein AS. Hadithi ya 906, Uk. 748)
copied
https://iqna.ir/H0EZ0w