IQNA- Ibrahim Isa Musa, qari mashuhuri kutoka Afrika ya Kati, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” iliyoandaliwa na shirika la IQNA kwa kusoma Surah Tukufu ya Al-Nasr.
Habari ID: 3480972 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/20
IQNA – Kampeni mpya ya kimataifa ya Qurani kwa jina “Fath” imezinduliwa kwa lengo la kuinua morali ya majeshi ya Kiislamu na kueneza maadili ya Qurani ndani ya jamii, hasa kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480957 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/17
IQNA – Shirika la Kimataifa la Habari za Qur’ani limeandaa warsha ya kimtandaoni (webinar) ya kimataifa iitwayo "Hadhi na Nguvu ya Iran; Ujumbe Zaidi ya Makombora" itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii.
Habari ID: 3480952 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
IQNA – Semina ya kimataifa ya mtandaoni chini ya anuani ya “Imamu Mkuu Khomeini (MA): Kielelezo cha Mabadiliko katika Ulimwengu wa Kiislamu” imepangwa kufanyika Jumanne, tarehe 3 Juni.
Habari ID: 3480777 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02
Uislamu na Vyombo vya Habari
IQNA - Mkuu wa Shirika la Qur'ani la Wanataaluma wa Iran amefafanua misingi mitano ya Qur'ani kwa ajili ya mawasiliano bora ya ujumbe.
Habari ID: 3479765 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17
Fikra
IQNA - Wamagharibi wameanza kutambua upotevu wa maadili ya kiroho katika miongo kadhaa iliyopita, na kuwafanya kuanza kurejea katika mizizi yao kitamaduni, amesema mhadhiri mkuu katika Chuo cha Kiislamu cha London.
Habari ID: 3479194 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27
Jamii
IQNA – Warsha ya kimataifa ya mtandaoni inayoangazia changamoto ambazo usasa unaleta katika familia imeandaliwa na Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA).
Habari ID: 3479188 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26
Hija
IQNA - Mwanafikra na Mtaalamu wa Uislamu kutoka Kanada ameitaja Hija kama sio tu ibada lakini mkusanyiko mkubwa zaidi wa amani duniani.
Habari ID: 3478962 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/11
Hija
IQNA – Kikao cha kimataifa cha kufungamana na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wakati wa ibada ya Hija kimepengwa kufanyika Jumatatu hii kwa njia ya intaneti..
Habari ID: 3478948 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/08
Harakati za Qur'ani
IQNA - Taasisi moja ya Kiislamu nchini Iran imetangaza kuwa imekamilisha tafsiri ya Kiswidi ya Qur'ani Tukufu katika hatua ya "kupambana na ujahilia" au ujingakufuatia matukio kadhaa ya kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini humo mwaka jana.
Habari ID: 3478639 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06
Maadhimisho
IQNA- Makumi ya maafisa na wanaharakati wa Qur'ani wameadhimisha mwaka wa 21 wa kuanzishwa kwa kwa Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA).
Habari ID: 3478593 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/28
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani (IUMS) aliona kususia huko kuwa chombo madhubuti dhidi ya nchi zinazounga mkono kuchomwa moto kwa Qur'ani Tukufu na akasema: Kususia ni mapinduzi na matakwa ya halali. Akizungumza katika kongamano la watetezi wa Qur'ani Tukufu ambacho kimefanyika hivi karibuni kwa njia ya intaneti, amesema Waislamu kote duniani wanawajibika katika kufanikishwa vikwazo hivyo.
Habari ID: 3477375 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Msomi wa Malaysia anasema ili kujibu kiuchumi mashambulizi ya Wamagharibi dhidi ya Uislamu na Qur'ani Tukufu, mataifa ya Kiislamu yanahitaji kuelewa uwezo wao na kujenga umoja.
Habari ID: 3477373 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03
Watetezi wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Washiriki katika kongamano la kimataifa ambalo limeitishwa kujadili njia za kukabiliana na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu wamesisitiza haja ya ulimwengu wa Kiislamu kuwa na umoja na mshikamano wa uhakika ili kkukabiliana na vitendo hivyo vya kufuru.
Habari ID: 3477372 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/02
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
STOCKHOLM (IQNA) - Mwanazuoni wa Kiislamu mwenye makazi yake nchini Uswidi anasema vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani katika nchi hiyo ya eneo la Nordic barani Ulaya vinaiweka sura ya Uswidi hatarini.
Habari ID: 3477360 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Mwanaharakati wa kisiasa na haki za binadamu wa Bahrain amependekeza kwamba muungano wa taasisi za kiraia katika nchi za Kiislamu na zisizo za Kiislamu uanzishwe ili kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu na kuvunjiwa heshima matakatifu ya Kiislamu.
Habari ID: 3477359 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Pakistani ambaye anashiriki katika fainali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesifu kiwango cha juu cha mashindano hayo.
Habari ID: 3476598 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/21
Mwaka wa 44 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Warsha ya kimataifa inatazamiwa kufanyika siku ya Jumatano kwa njia ya intaneti kwa lengo la kujadili Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3476527 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/07
Kumbukizi ya Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA) – Mwanachama mwandamizi wa harakati ya muqawama au mapambano ya Palestina, Jihad Islami, amesema shahidi Qassem Soleimani aliweza kutoa motisha kwa wapiganaji wote wa harakati za mapamano.
Habari ID: 3476351 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03
Uchambuzi wa kisiasa
TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa mtaalamu kutoka Ujerumani, mazungumzo kuhusu bei ya nishati na vile vile kutetea uhusiano wa kawaida kati ya Saudi Arabia na utawala wa Israel ni kati ya ajenda ya ziara ya kwanza ya Rais wa Marekani Joe Biden katika eneo la (Asia Magharibi) Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3475468 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/06