Watu warejea makwao Kusini mwa Lebanon baada ya kusitishwa kwa Mapigano
IQNA - Maelfu ya watu wa Lebanon wanarejea makwao kusini mwa Lebanon baada ya kusitishwa kwa mapigano kati ya utawala haramu wa Israel na Harakati Hizbullah. Mapatano hayo yalivikiwa Jumatano iliyopita.
copied
https://iqna.ir/H0EbGO