IQNA – Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amekanusha vikali propaganda za Israel zinazolenga kupunguza nguvu za harakati ya Hizbullah, huku akisisitiza uungaji mkono kamili wa mhimili wa muqawama kwa harakati hiyo.
Habari ID: 3482169 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27
IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amelaani vikali vitendo vya kikatili vinavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Lebanon.
Habari ID: 3482142 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/15
IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah amesema kuwa harakati hii ya Muqawama au mapambano ya Kiislamu iko tayari kikamilifu kuitetea Lebanon na kamwe haitasalimu amri mbele ya vitisho.
Habari ID: 3481947 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/17
IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametangazwa rasmi kuwa “Mahdi Yavar" yaani Msaidizi wa Imam Mahdi' wa Mwaka.
Habari ID: 3481891 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/04
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa: "Imam Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni Faqihi Mtawala wetu na sisi hatutabaki kuwa watazamaji mbele ya uchokozi wowote utakaofanywa dhidi ya Iran".
Habari ID: 3481853 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/27
IQNA – "Ummah wa Kiislamu unakabiliwa na mapambano makubwa yanayoongozwa na Twaghut wa Marekani pamoja na nchi zingine za Magharibi, na uchokozi wa kikatili wa utawala wa Kizayuni."i, amesema kiongozi wa Hizbullah
Habari ID: 3481847 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/25
IQNA-Tawi la Bunge la Harakati ya Muqawama ya Hizbullah katika Bunge la Lebanon limeonya kwamba, vitisho vya maneno vya Marekani dhidi ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei vinaweza kushadidisha mvutano katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3481841 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/24
IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah amemkumbuka Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani kwa kusifu nafasi yake ya kipekee katika kupinga Marekani, akieleza kuwa kazi yake ilikuwa kiini cha Mhimili wa Muqawama (Mapambano).
Habari ID: 3481765 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04
IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela na mashambulizi ya miundombinu muhimu, maeneo ya kiraia na makazi katika taifa hilo la Amerika ya Kusini.
Habari ID: 3481763 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04
IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani kwa kauli kali na nzito kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilishwa kwa Qur'ani Tukufu kilichotokea katika jimbo la Texas, nchini Marekani.
Habari ID: 3481679 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19
IQNA – Harakati ya mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon imemtaka Kiongozi wa Kanisa Katoliki kulaani ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha vita na mashambulizi ya Israel dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.
Habari ID: 3481592 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/30
IQNA –Mazishi ya Shahidi Haytham Ali Tabatabai, kamanda mwandamizi wa Hizbullah, pamoja na wapiganaji wengine wa muqawama waliouawa, yamefanyika Jumatatu katika kitongoji cha Beirut.
Habari ID: 3481567 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/25
IQNA – Hafla maalum ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa viongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imepangwa kufanyika wiki hii katika haram tukufu ya Hazrat Masoumeh (SA) huko Qom.
Habari ID: 3481307 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/30
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika hotuba aliyotoa kwa ajili ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa zamani wa Hizbullah ya Lebanon, alisisitiza kuwa njia na mtindo wa shahidi huyu bado unaendelea.
Habari ID: 3481295 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amehutubia mjini Beirut maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashem Safiyyuddin na kumhutubu Shahidi Nasrullah kwa kusema: "Ewe Nasrullah, kama ulivyotufunza, hatutaziacha katu silaha za Muqawama."
Habari ID: 3481294 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28
IQNA – Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imetangaza ratiba ya shughuli za kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa viongozi wake mashuhuri, Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashem Safieddine.
Habari ID: 3481249 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/17
IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya kupigania ukombozi ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani shambulizi la hivi karibuni la Israel dhidi ya mji wa Doha nchini Qatar, akieleza kuwa tukio hilo ni sehemu ya mpango unaojulikana kama ‘Israel Kubwa’.
Habari ID: 3481219 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, ametuma salamu za rambirambi kwa taifa la Yemen kufuatia kuuawa shahidi kwa Waziri Mkuu wa Yemen, Ahmad Ghaleb Al-Rahawi, pamoja na mawaziri kadhaa wa serikali yake katika shambulio la anga la Israel lililofanyika hivi karibuni mjini Sanaa.
Habari ID: 3481169 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/01
IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, amesisitiza tena msimamo wa harakati hiyo kukataa wito wa kusalimisha silaha zake.
Habari ID: 3481139 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/26
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon, amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani wanatekeleza jinai za kila siku, zilizo na mpangilio mahsusi, katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481023 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/31