israel

IQNA

IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
Habari ID: 3482173    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28

IQNA – Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amekanusha vikali propaganda za Israel zinazolenga kupunguza nguvu za harakati ya Hizbullah, huku akisisitiza uungaji mkono kamili wa mhimili wa muqawama kwa harakati hiyo.
Habari ID: 3482169    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27

IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa limetoa taarifa kuhusu ushindi wa kihistoria wa Iran katika vita vya tatu vilivyolazimishwa dhidi yake, pamoja na kukubaliwa kwa masharti ya Iran na upande wa adui.
Habari ID: 3482126    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08

IQNA-Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo angalau wanafunzi na wafanyakazi wa shule 175 waliuawa katika mauaji ya kikatili tarehe 28 Februari.
Habari ID: 3482097    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28

IQNA-Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa Muqawama.
Habari ID: 3482096    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28

IQNA-Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyotekelezwa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu ,” ya jinai ya kivita unaofanywa na muungano huo wa kijeshi wa tawala hizo mbili.
Habari ID: 3482095    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28

IQNA – Wakielezea kama uhamasishaji mkubwa zaidi wa aina yake, wanaharakati wa kimataifa wametangaza mipango ya kupeleka meli 200 katika msafara wa misaada unaojulikana kama Freedom and Sumud Flotilla, wakilenga Ukanda wa Gaza katika majira ya kuchipua mwaka huu.
Habari ID: 3482002    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27

IQNA – Kwa karne nyingi, Msikiti Mkuu wa Omari umesimama kama mlinzi kimya wa historia ya kielimu ya Gaza, hukoo Palestina huku maktaba yake ikihifadhi maandiko ya kale yaliyoandika simulizi za kupanda na kushuka kwa ustaarabu mbalimbali.
Habari ID: 3481992    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25

IQNA-Utawala wa Kizayuni wa Israel umewawekea vizuizi vikali Wapalestina kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao unaukalia kwa mabavu, kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481966    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/21

IQNA-Jua lilipotua juu ya Gaza siku ya Jumanne, safu za waumini zilisimama kuswali, si ndani ya misikiti, bali juu ya magofu yake.
Habari ID: 3481957    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/19

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Muqawama (mapambano ya Kiislamu) ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa Marekani na Utawala wa Israel zinakabiliana na Iran kwa sababu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasimama kama kizuizi dhidi ya mradi wao mpana wa kutawala eneo la Asia Magharibi au Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3481932    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14

IQNA – Ziara rasmi ya rais wa utawala wa Israel, Isaac Herzog, nchini Australia ilikumbwa na maandamano makubwa siku ya Jumatatu, huku maelfu ya waandamanaji wakijitokeza katika miji kadhaa, hali iliyopelekea kuwepo makabiliano na polisi.
Habari ID: 3481918    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/11

IQNA – Idadi kubwa ya raia wa Morocco walifanya mkusanyiko mbele ya jengo la Bunge katika mji mkuu Rabat, Ijumaa jioni, wakieleza mshikamano wao na wananchi wa Palestina na kulaani mzingiro unaoendelea kuwekwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481901    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08

IQNA-Maelfu kwa maelfu ya watu wamejitokeza mitaani katika nchi kadhaa za Ulaya kushiriki maandamano ya kuunga mkono Palestina, huku wakiushutumu utawala dhalimu wa Israel kwa kukiuka mara kwa mara makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kati yake na Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas.
Habari ID: 3481878    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/01

IQNA –Afrika Kusini imemtangaza kaimu balozi wa utawala wa Isarel nchini humo kuwa mtu asiyehitajika na kuamuru afukuzwe mara moja.
Habari ID: 3481876    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/31

IQNA – Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (International Union of Muslim Scholars – IUMS) umetoa fatwa (hukumu ya kidini) ikitangaza kwamba kuwa na mahusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel ni haramu kisheria kwa mujibu wa Uislamu.
Habari ID: 3481830    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/21

IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu (WFPIST) amesisitiza haja ya kuimarisha umoja na kudumisha umakini wa ulimwengu wa Kiislamu kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3481825    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/20

IQNA-Ripoti ya pamoja ya Wizara ya Elimu na Elimu ya Juu ya Palestina imeripoti kuwa, kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2025, walimu wasipungua 1,377 na wafanyakazi wa elimu waliuawa shahidi na 4,757 wamejeruhiwa katika mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3481824    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/20

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuhusika moja kwa moja Marekani, utawala wa Kizayuni na baadhi ya nchi za Ulaya katika matukio ya hivi karibuni ya Iran hakukanushiki.
Habari ID: 3481809    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/17

IQNA – Utawala ghasibu wa Israel umetangaza mipango ya kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu wanaotaka kufika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem0, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481807    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/15