IQNA – Akieleza sababu za kukataa uhamisho wa mchezaji kwenda klabu ya soka ya Israel ya Maccabi Tel Aviv, mmiliki wa klabu ya soka ya Poland ya Pogon Szczecin ametolea mfano wa Ujerumani ya enzi za utawala wa Nazi.
Habari ID: 3482329 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/06
IQNA – Eneo takatifu na muhimu kwa Waislamu katika mji mtukufu wa al‑Quds (Jerusalem) litaanza kusimamiwa na maafisa wa polisi wenye misimamo mikali wa Kiyahudi wa mrengo wa kulia.
Habari ID: 3482325 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/05
IQNA-Umoja wa Mataifa umekosoa vikali mipango ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ya kupanua udhibiti juu ya Ukanda wa Gaza, na kusisitiza kuwa eneo lote ni haki ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3482299 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/30
IQNA – Umoja wa Mataifa umelaani jinsi Israel ilivyowatendea wanaharakati waliokuwa katika meli za misaada zilizoelekea Gaza baada ya msafara huo kukamatwa katika maji ya kimataifa.
Habari ID: 3482270 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22
IQNA – Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imekataa rasmi mpango wa eneo linalojitenga la Somalia linalojulikana kama Somaliland w kufungua ubalozi katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
Habari ID: 3482269 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22
IQNA – Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wameilaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3482268 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22
IQNA – Mchezaji wa Ufaransa, Sacha Bouy, alivutia hisia wakati wa sherehe za ubingwa wa Ligi ya Uturuki za klabu yake Galatasaray, alipohudhuria hafla ya kukabidhiwa kombe akiwa amebeba bendera ya Palestina.
Habari ID: 3482254 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/18
IQNA – Mlipuko mkubwa umetokea katika kituo cha viwanda katika eneo la Beit Shemesh karibu na mji mtakatifu wa Al‑Quds (Jerusalem), huku mtikisiko wake ukihisiwa katika maeneo mbalimbali ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina la 'Israel'.
Habari ID: 3482248 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/17
Maafisa wa UN katika Siku ya Ukumbusho wa Nakba
IQNA – Wakikumbuka mwaka wa Nakba Ijumaa, maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa wameonya kwamba mateso na uhamishaji walioupata Wapalestina tangu mwaka 1948, baada ya ardhi yao kukoliniwa na Israel, ni maumivu yanayoendelea kwa vizazi na maelfu ya kilomita.
Habari ID: 3482243 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/16
Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa
IQNA-Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa kimesema kuwa ushiriki, uwezeshaji na ushirikiano wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani pamoja na utawala wa Israel dhidi ya Iran ni sawa na “kusaidia kambi ya ukafiri dhidi ya ndugu Waislamu” na kwa hivyo ni “haramu kabisa.”
Habari ID: 3482238 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/14
IQNA – Kwa zaidi ya miaka miwili sasa, vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vimegeuza mitaa mizima ya mji wa Gaza kuwa magofu ya simenti na vyuma vilivyopinda.
Habari ID: 3482219 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/09
IQNA – Utawala dhalimu wa Israel umewapiga marufuku wahubiri wawili mashuhuri wa Kiislamu wa Palestina kuingia katika Msikiti wa Al‑Aqsa jijini Al Quds (Jerusalem) kwa kipindi cha miezi sita.
Habari ID: 3482211 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07
IQNA – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kusitisha kujipanga upande mmoja na kushirikiana na pande zinazoiwekea uadui Jamhuri ya Kiislamu.
Habari ID: 3482210 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07
IQNA-Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu imetangaza Jumapili kuwa Gaza imegeuka kuwa sehemu hatari kuliko zote duniani kwa wanahabari, huku angalau wafanyakazi 295 wa vyombo vya habari wakithibitishwa kuuawa katika mashambulizi ya Israel tangu kuanza kwa vita Oktoba 2023.
Habari ID: 3482200 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/04
IQNA-Malalamiko yameendelea kumiminika baada ya Mu israel i mwenye misimamo mikali kumshambulia mtawa Mkristo raia wa Ufaransa, huku Wa israel i Wazayuni wakishadidisha mashambulizi dhidi ya Waislamu na Wakristo pamoja na maeneo matakatifu katika ardhi za Palestina zinazokoloniwa na utawala wa Israel.
Habari ID: 3482188 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01
IQNA – Waandaaji wa msafara mkubwa wa kibinadamu wa meli unaoelekea Gaza wamesema kuwa vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimejaribu kuuzuia msafara huo, kwa kuzuia baadhi ya meli katika maji ya kimataifa kwa kutumia ndege zisizo na rubani (drones), kuvuruga mawasiliano na askari waliopanda meli kwa nguvu.
Habari ID: 3482184 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30
IQNA – Msafara wa meli unaojulikana kama Global Sumud Flotilla, unaolenga kuvunja mzingiro uliowekwa na utawala katili wa Israeli dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, umefika katika maji ya kimataifa karibu na pwani ya Ugiriki.
Habari ID: 3482179 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/29
IQNA – Sheikh Raed Salah na Sheikh Kamal al‑Khatib wamelaani marufuku ya wiki moja iliyowekwa na mamlaka za utawala haramu wa Israel kuwazuia kuingia katika Msikiti wa Al‑Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo, wakisema ni “shambulio dhidi ya dini yetu.”
Habari ID: 3482178 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/29
IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani Tukufu kutoka Lebanon amekosoa misimamo ya qari mmoja kutoka Kuwait akisema kuwa haina uhusiano na mafundisho ya Qur’ani.
Habari ID: 3482177 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/29
IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
Habari ID: 3482173 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28