israel

IQNA

IQNA – Magenge ya walowezi wa Kizayuni yamefanya mfululizo wa mashambulizi ya kikatili usiku wa Jumapili katika miji na vijiji mbalimbali katika wilaya za al-Khalil (Hebron) na Nablus katika eneo linalokaliw akwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi, ambapo wamechoma moto nyumba na msikiti, wamewashambulia wakazi, na kupora mifugo huku wakilindwa na wanajeshi wa utawala katili wa Israel.
Habari ID: 3482514   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/20

IQNA-Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, ametoa pongezi za dhati kwa Uhispania kufuatia ushindi wake baada ya mechi ngumu katika fainali ya Kombe la Dunia la FIFA la mwaka 2026, akielezea mafanikio hayo kuwa ni chanzo cha furaha kwa watu wa Palestina na wafuasi wote wa haki, huku akibainisha kuwa ushindi huo ni pigo hasa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na wafadhili wake.
Habari ID: 3482512   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/20

IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amesema Jumamosi kuwa utawala wake unachunguza iwapo una mamlaka ya kisheria ya kumkamata Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, iwapo atatembelea jiji hilo kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa mwezi Septemba.
Habari ID: 3482506   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/19

IQNA – Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ardhi za Palestina Zinazokaliwa kwa Mabavu, Francesca Albanese, ametoa wito siku ya Jumapili kwa hati ya haraka ya kukamatwa kwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni, Yisrael Katz, baada ya waziri huyo kukiri kufanya jinai za kivita huko Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3482478   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/13

IQNA-Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina (Hamas) iimelaani vikali uamuzi wa awali wa bunge la utawala wa Israel (Knesset) kupitisha muswada wa mrengo wa kulia wenye nia ya kupiga marufuku wito wa Sala ya Kiislamu (Adhana) kupitia vipaza sauti katika misikiti ya Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) na maeneo mengine yote yaliyovamia na kukaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3482428   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/02

IQNA-Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Mkataba wa Maelewano (MoU) wa kumaliza vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa matokeo ya shinikizo au kulazimishwa, bali ni zao la ustahimilivu na nguvu ya taifa shupavu la Iran.
Habari ID: 3482399   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/24

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni umefeli katika njama zake zote za kutaka kuangamiza harakati hiyo ya mapambano (Muqawama).
Habari ID: 3482382   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/20

IQNA – Akieleza sababu za kukataa uhamisho wa mchezaji kwenda klabu ya soka ya Israel ya Maccabi Tel Aviv, mmiliki wa klabu ya soka ya Poland ya  Pogon Szczecin ametolea mfano wa Ujerumani ya enzi za utawala wa Nazi.
Habari ID: 3482329   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/06

IQNA – Eneo takatifu na muhimu kwa Waislamu katika mji mtukufu wa al‑Quds (Jerusalem) litaanza kusimamiwa na maafisa wa polisi wenye misimamo mikali wa Kiyahudi wa mrengo wa kulia.
Habari ID: 3482325   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/05

IQNA-Umoja wa Mataifa umekosoa vikali mipango ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ya kupanua udhibiti juu ya Ukanda wa Gaza, na kusisitiza kuwa eneo lote ni haki ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3482299   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/30

IQNA – Umoja wa Mataifa umelaani jinsi Israel ilivyowatendea wanaharakati waliokuwa katika meli za misaada zilizoelekea Gaza baada ya msafara huo kukamatwa katika maji ya kimataifa.
Habari ID: 3482270   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22

IQNA – Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imekataa rasmi mpango wa eneo linalojitenga la Somalia linalojulikana kama Somaliland w kufungua ubalozi katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
Habari ID: 3482269   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22

IQNA – Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wameilaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3482268   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22

IQNA – Mchezaji wa Ufaransa, Sacha Bouy, alivutia hisia wakati wa sherehe za ubingwa wa Ligi ya Uturuki za klabu yake Galatasaray, alipohudhuria hafla ya kukabidhiwa kombe akiwa amebeba bendera ya Palestina.
Habari ID: 3482254   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/18

IQNA – Mlipuko mkubwa umetokea katika kituo cha viwanda katika eneo la Beit Shemesh karibu na mji mtakatifu wa Al‑Quds (Jerusalem), huku mtikisiko wake ukihisiwa katika maeneo mbalimbali ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina la 'Israel'.
Habari ID: 3482248   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/17

Maafisa wa UN katika Siku ya Ukumbusho wa Nakba
IQNA – Wakikumbuka mwaka wa Nakba Ijumaa, maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa wameonya kwamba mateso na uhamishaji walioupata Wapalestina tangu mwaka 1948, baada ya ardhi yao kukoliniwa na Israel, ni maumivu yanayoendelea kwa vizazi na maelfu ya kilomita.
Habari ID: 3482243   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/16

Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa
IQNA-Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa kimesema kuwa ushiriki, uwezeshaji na ushirikiano wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani pamoja na utawala wa Israel dhidi ya Iran ni sawa na “kusaidia kambi ya ukafiri dhidi ya ndugu Waislamu” na kwa hivyo ni “haramu kabisa.”
Habari ID: 3482238   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/14

IQNA – Kwa zaidi ya miaka miwili sasa, vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vimegeuza mitaa mizima ya mji wa Gaza kuwa magofu ya simenti na vyuma vilivyopinda.
Habari ID: 3482219   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/09

IQNA – Utawala dhalimu wa Israel umewapiga marufuku wahubiri wawili mashuhuri wa Kiislamu wa Palestina kuingia katika Msikiti wa Al‑Aqsa  jijini Al Quds (Jerusalem) kwa kipindi cha miezi sita.
Habari ID: 3482211   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07

IQNA – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kusitisha kujipanga upande mmoja na kushirikiana na pande zinazoiwekea uadui Jamhuri ya Kiislamu.
Habari ID: 3482210   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07