iqna

IQNA

lebanon
Kadhia ya Palestina
IQNA- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa: "Kusimama kidete na kishujaa wanamuqawama au wanamapamano wa Wapalestina wa Gaza, ni matukio ambayo yanakaribiana na muujiza, na yote haya yametokana na utamaduni wa Qurani na dalili zake tukufu kwa ulimwengu wote."
Habari ID: 3478513    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Kiongozi wa Hizbullah
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema utawala haramu wa Israel mepata hasara "isiyo na kifani" mikononi mwa makundi ya Kiiislamu ya kupigania ukombozi wa Palestina (muqawama) na imeshindwa kufikia malengo yake yoyote baada ya siku 100 za vita vyake vya mauaji ya kimbari kwenye Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478199    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/15

Qur'ani Tukufu
IQNA - Haitham Salim Ayyash, mtaalamu wa Qur'ani wa Lebanon, alisisitiza haja ya walimu wa Qur'ani kuwa na ufahamu wa kina wa mafundisho ya Kitabu hicho Kitukufu.
Habari ID: 3478079    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya)
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa harakati za mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya) za Palestina na Lebanon wameapa kushirikiana ili kutoa jibu la pamoja dhidi ya sera za uvamizi za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3477543    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/03

Kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanayozisumbua nchi za eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3477378    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna tena mamlaka ya kiamri ya Marekani duniani na kila kitu kinaelekea kwenye ulimwengu wa kambi kadhaa, na akaongezea kwa kusema: "na hili ndilo linaloitia wasiwasi Israel".
Habari ID: 3477049    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala katili wa Israel lilishambulia maeneo ya Lebanon na Palestina katika Ukanda wa Gaza mapema Ijumaa, kufuatia kuvurumishwa makombora ya kulipiza kisasi kutoka Gaza na Kusini mwa Lebanon kutokana na mashambulizi ya kinyama ya utawala huo dhidi ya waumini wa Kipalestina ndani ya Msikiti wa al-Aqsa katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3476825    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07

Kiongozi wa Hizbullah atahadharisha
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na maafisa wa utawala haramu wa Israel vya kuwepo uwezekano wa kuivamia kijeshi Lebanon na kusisitiza kuwa, uchokozi wowote wa Israel dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu utapata jibu la haraka.
Habari ID: 3476752    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24

TEHRAN (IQNA) – Duru ya mwisho ya Mashindano ya 25 ya Kitaifa ya Qur’ani nchini Lebanon ilifanyika mjini Beirut Jumapili, Novemba 27.
Habari ID: 3476175    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Septemba 16, inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 40 ya uhalifu wa Sabra na Shatila.
Habari ID: 3475794    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Mapambano ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya al-Umma ya Lebanon Sheikh Abdullah al-Jabri amepongeza nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mhimili wa muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3475779    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/13

Harakati za Muqawama
TEHRAN (IQNA)- Ujumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS umeonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon mjini Beirut, ukiwa ni ushahidi wa kuzidi kushikamana kambi ya muqawama katika eneo hili.
Habari ID: 3475695    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitizia kwamba harakati hiyo daima imekuwa bega kwa bega na watu wanaodhulumiwa katika eneo la Asia Magharibi wakiwemo wa Yemen, Iraq na Afghanistan.
Habari ID: 3475666    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23

Muqawama
TEHRAN (IQNA) - Mwanachama mwandamizi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen Mohammad Ali al-Houthi amempongeza Katibu Mkuu wa Hizbullah Sayed Hassan Nasrallah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya kuasisiwa kwa harakati hiyo ya mapambano (muqawama) ya Kiislamu ya Lebanon.
Habari ID: 3475562    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema makombora yenye usahihi mkubwa katika kulenga shabaha ya harakati hiyo ya muqawama yana uwezo wa kupiga sehemu yoyote ya utawala haramu wa Israel; baharini au ardhini.
Habari ID: 3475541    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon anasema harakati harakati hiyo ilikataa mapendekezo kadhaa ya hongo ya kifedha ya Marekani ili kusitisha mapambano yake na utawala wa Kizayuni wa Israel .
Habari ID: 3475525    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/22

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA) Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Lebanon haitaki vita, lakini iwapo haitapata inachostahiki, utawala wa Kizayuni hautaruhusiwa kuchimba mafuta.
Habari ID: 3475520    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/20

Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, mojawapo ya matunda muhimu zaidi ya mhimili wa Muqawama au mapambano ya Kiislamu yalikuwa ni kuuzima mpango wa Marekani wa kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya.
Habari ID: 3475500    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14

Umoja na Amani
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa amesema chuo hicho kinajikita katika kukurubisha madehebu za Kiislamu, umoja, mazungumzo na maelewano baina ya dini.
Habari ID: 3475452    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02

Uadui wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hatua za utawale wa Kizayuni wa Israel katika eneo la machimbo ya gesi ya Karish ni ukiukaji wa mamlaka ya Lebanon na akaonya wazi kuwa hakuna shaka yoyote kuwa Hizbullah inayo uwezo wa kijeshi na kiusalama wa kumzuia adui mzayuni asichimbe mafuta na gesi katika eneo hilo.
Habari ID: 3475357    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/10