lebanon

IQNA

IQNA-Lebanon inajiandaa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Al‑Sadiq Al‑Amin,” yatakayofanyika Beirut katika siku za kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481854    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/27

IQNA – "Ummah wa Kiislamu unakabiliwa na mapambano makubwa yanayoongozwa na Twaghut wa Marekani pamoja na nchi zingine za Magharibi, na uchokozi wa kikatili wa utawala wa Kizayuni."i, amesema kiongozi wa Hizbullah
Habari ID: 3481847    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/25

IQNA – Mufti Mkuu wa Lebanon, Sheikh Abdul Latif Darian, amesema kuwa uhusiano kati ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni nchini humo ni wa kindugu na wa kuheshimiana.
Habari ID: 3481787    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/11

IQNA – Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon imesisitiza katika taarifa yake kwamba watu wa Venezuela, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, watazima njama ya Marekani. Wameongeza kuwa mataifa huru na yenye mamlaka yao yanapaswa kusimama pamoja kukabiliana na dhulma na jinai za Marekani na kuunda ushirikiano wa kimkakati.
Habari ID: 3481767    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05

IQNA – Mwanafikra na msanii Mkristo kutoka Lebanon amesema Nabii Isa na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwashukie) waliona jukumu lao kuwa ni kusimamisha maadili na upendo wa kimungu.
Habari ID: 3481716    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/25

IQNA – Papa Leo XIV amehudhuria mkutano wa dini mbalimbali uliofanyika katika Uwanja wa Mashahidi jijini Beirut, ambapo walikusanyika mapatriaki wa Kikristo wa Lebanon pamoja na viongozi wa Kiroho wa Kiislamu wa madhehebu ya Sunni na Shia na halikadhalika dini ya Druze chini ya hema moja.
Habari ID: 3481603    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02

IQNA – Harakati ya mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon imemtaka Kiongozi wa Kanisa Katoliki kulaani ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha vita na mashambulizi ya Israel dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.
Habari ID: 3481592    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/30

IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki anapanga kusafiri kuelekea nchini Uturuki, ambapo atatembelea Msikiti wa Sultan Ahmed maarufu kama Blue Mosque, ulioko mjini Istanbul.
Habari ID: 3481433    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29

IQNA – Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Milad un Nabii kwa kutoa wito wa kutafakari juu ya ujumbe wake wa huruma, haki, na heshima ya kibinadamu kwa ulimwengu mzima.
Habari ID: 3481220    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon, amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani wanatekeleza jinai za kila siku, zilizo na mpangilio mahsusi, katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481023    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/31

IQNA – Mtaalamu mmoja kutoka Lebanon amesema kuwa lengo la harakati ya Imam Khomeini ilikuwa kuelekea kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na hivyo fikra zake zikitokana na misingi ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480787    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04

IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Lebanon yanayojulikana kama "Dhikr lil-Alamin" imetangaza washindi wa kitengo cha qiraa.
Habari ID: 3480573    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullay ya Lebanon amepuuzilia mbali wazo la kuipokonya  harakati hiyo, silaha zake na kusema wale wanaotoa wito wa kufanya hivyo wanahudumia ajenda ya utawala wa Kizayuni wa Israel 
Habari ID: 3480562    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/19

IQNA - Maelfu ya watu wa Lebanon wanarejea makwao kusini mwa Lebanon baada ya kusitishwa kwa mapigano kati ya utawala haramu wa Israel na Harakati Hizbullah. Mapatano hayo yalivikiwa Jumatano iliyopita.
Habari ID: 3479836    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/02

Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
IQNA- Hatimaye baada ya miezi 14 ya vita vikali kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, usitishaji vita wa siku 60 umeanza kutekelezwa asubuhi ya leo (Jumatano) baina ya pande hizo mbili.
Habari ID: 3479815    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27

Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa maneno kwa ajili ya wananchi na viongozi wa Lebanon walioko kwenye vita hivi sasa na kuwaambia kuwa, sisi hatuna tofauti na nyinyi, tuko pamoja nanyi na tutaendelea kuwa pamoja nanyi.
Habari ID: 3479778    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19

Muqawama
IQNA – Mhimili wa Muqawama (Mapambano ya Kiislamu) umepata nguvu na uhalali kiasi kwamba nyanja yake ya ushawishi imevuka eneo hilo na kufika duniani kote, amesema mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon.
Habari ID: 3479756    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16

IQNA - Kundi la wanachama wa Jumuiya ya Qur'ani ya Iran wametembelea watu wa Lebanon, ambao wamejeruhiwa katika shambulio la Israel, katika hospitali jijini Tehran.
Habari ID: 3479666    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29

Jinai za Israel
IQNA-Mashambulizi  kinyama ya anga yanayofanywa na  katili la utawala wa Kizayuni wa Israel yameteketeza kikamilifu msikiti wa kale na kubomoa soko kusini mwa Lebanon, katika kile kilichoelezewa kama "uangamizaji wa kila kitu".
Habari ID: 3479586    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13

Muqawama
IQNA - Mchambuzi mashuhuri wa Lebanon anasema jinsi Iran inavyojibu kwa shambulio linalowezekana la Israel itaunda mustakabali wa eneo hilo.
Habari ID: 3479559    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08