IQNA – Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amekanusha vikali propaganda za Israel zinazolenga kupunguza nguvu za harakati ya Hizbullah, huku akisisitiza uungaji mkono kamili wa mhimili wa muqawama kwa harakati hiyo.
Habari ID: 3482169 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27
IQNA – Kozi za mafundisho ya Qur’ani zimeanza tena nchini Lebanon kufuatia juhudi za Kituo cha Kimataifa cha Uenezi wa Qur’ani kinachohusishwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imamu Hussein (AS) huko Iraq. Kituo hicho kimetangaza kuwa kozi hizo zimeanza upya kupitia matawi yake nchini Lebanon pamoja na kituo cha Dar al-Qur’ani cha Imamu Ali (AS), baada ya mafanikio ya programu za Qur’ani katika vijiji na miji kadhaa ya Lebanon.
Habari ID: 3482167 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27
IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amelaani vikali vitendo vya kikatili vinavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Lebanon.
Habari ID: 3482142 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/15
IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah amesema kuwa harakati hii ya Muqawama au mapambano ya Kiislamu iko tayari kikamilifu kuitetea Lebanon na kamwe haitasalimu amri mbele ya vitisho.
Habari ID: 3481947 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/17
IQNA – Washiriki kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamefanikiwa kushinda nafasi ya kwanza na ya pili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu yajulikanayo kama “Al‑Sadiq Al‑Amin”, yaliyofanyika nchini Lebanon.
Habari ID: 3481946 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/16
IQNA-Lebanon inajiandaa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Al‑Sadiq Al‑Amin,” yatakayofanyika Beirut katika siku za kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481854 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/27
IQNA – "Ummah wa Kiislamu unakabiliwa na mapambano makubwa yanayoongozwa na Twaghut wa Marekani pamoja na nchi zingine za Magharibi, na uchokozi wa kikatili wa utawala wa Kizayuni."i, amesema kiongozi wa Hizbullah
Habari ID: 3481847 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/25
IQNA – Mufti Mkuu wa Lebanon, Sheikh Abdul Latif Darian, amesema kuwa uhusiano kati ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni nchini humo ni wa kindugu na wa kuheshimiana.
Habari ID: 3481787 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/11
IQNA – Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon imesisitiza katika taarifa yake kwamba watu wa Venezuela, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, watazima njama ya Marekani. Wameongeza kuwa mataifa huru na yenye mamlaka yao yanapaswa kusimama pamoja kukabiliana na dhulma na jinai za Marekani na kuunda ushirikiano wa kimkakati.
Habari ID: 3481767 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05
IQNA – Mwanafikra na msanii Mkristo kutoka Lebanon amesema Nabii Isa na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwashukie) waliona jukumu lao kuwa ni kusimamisha maadili na upendo wa kimungu.
Habari ID: 3481716 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/25
IQNA – Papa Leo XIV amehudhuria mkutano wa dini mbalimbali uliofanyika katika Uwanja wa Mashahidi jijini Beirut, ambapo walikusanyika mapatriaki wa Kikristo wa Lebanon pamoja na viongozi wa Kiroho wa Kiislamu wa madhehebu ya Sunni na Shia na halikadhalika dini ya Druze chini ya hema moja.
Habari ID: 3481603 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02
IQNA – Harakati ya mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon imemtaka Kiongozi wa Kanisa Katoliki kulaani ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha vita na mashambulizi ya Israel dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.
Habari ID: 3481592 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/30
IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki anapanga kusafiri kuelekea nchini Uturuki, ambapo atatembelea Msikiti wa Sultan Ahmed maarufu kama Blue Mosque, ulioko mjini Istanbul.
Habari ID: 3481433 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29
IQNA – Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Milad un Nabii kwa kutoa wito wa kutafakari juu ya ujumbe wake wa huruma, haki, na heshima ya kibinadamu kwa ulimwengu mzima.
Habari ID: 3481220 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon, amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani wanatekeleza jinai za kila siku, zilizo na mpangilio mahsusi, katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481023 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/31
IQNA – Mtaalamu mmoja kutoka Lebanon amesema kuwa lengo la harakati ya Imam Khomeini ilikuwa kuelekea kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na hivyo fikra zake zikitokana na misingi ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480787 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04
IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Lebanon yanayojulikana kama "Dhikr lil-Alamin" imetangaza washindi wa kitengo cha qiraa.
Habari ID: 3480573 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21
IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullay ya Lebanon amepuuzilia mbali wazo la kuipokonya harakati hiyo, silaha zake na kusema wale wanaotoa wito wa kufanya hivyo wanahudumia ajenda ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Habari ID: 3480562 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/19
IQNA - Maelfu ya watu wa Lebanon wanarejea makwao kusini mwa Lebanon baada ya kusitishwa kwa mapigano kati ya utawala haramu wa Israel na Harakati Hizbullah. Mapatano hayo yalivikiwa Jumatano iliyopita.
Habari ID: 3479836 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/02
Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
IQNA- Hatimaye baada ya miezi 14 ya vita vikali kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, usitishaji vita wa siku 60 umeanza kutekelezwa asubuhi ya leo (Jumatano) baina ya pande hizo mbili.
Habari ID: 3479815 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27