iqna

IQNA

shetani
Mawaidha
IQNA – Shetani ni nomino ya kawaida ambayo hutumiwa kurejelea kila kiumbe mwenye kuhadaa na mpotovu, awe binadamu au asiye binadamu.
Habari ID: 3478136    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/03

TEHRAN (IQNA) – Katika maisha yake yote, mwanadamu hukumbana na hali na changamoto mbalimbali, ambazo baadhi yake zinaweza kumsababishia kufanya mambo mabaya kwake au kwa wengine.
Habari ID: 3477741    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

Qur’ani Tukufu Inasemaje/9
TEHRAN (IQNA) – Baada ya Mwenyezi Mungu kumuumba mwanadamu, kuna Yule mwenye kiburi aliyeaanza uadui dhidi yake.
Habari ID: 3475946    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Sura za Qur’ani Tukufu/ 15
TEHRAN (IQNA) - Kumekuwa na nadharia na mitazamo tofauti juu ya kuumbwa kwa mwanadamu, na mtazamo wa Uislamu juu ya hili umetajwa ndani ya Qur’ani ikiwemo katika Sura al Hijr.
Habari ID: 3475945    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Qur'an Inasemaje /11
TEHRAN (IQNA)-Tunamjua Mwenyezi Mungu kuwa ni Mwingi wa Rehema na Mwenye kurehemu. Kwa hiyo Mungu hatatuacha peke yetu mbele ya adui yetu mkuu, yaani Shetani.
Habari ID: 3475417    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Qur'ani Tukufu inasemaje/10
TEHRAN (IQNA) – Katika kufuatia njia ya mwongozo wa Mwenyezi Mungu kuna maadui na hivyo ili kukabiliana nao ni muhimu kwanza kutambua udhaifu wetu ili kuelewa njia ambazo maadui hawa hutumia kujipenyeza na kutuathiri.
Habari ID: 3475413    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23

TEHRAN (IQNA)- Moja ya mambo ambayo yamesemwa kuhusu mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kwamba mkono wa shetani umefungwa ndani ya mwezi huu.
Habari ID: 3475169    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/25