Hata baada ya kupita miezi kadhaa ya kusonga mbele kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika medani za vita kwenye nchi za Kiislamu, Rais Barack Obama wa Marekani amesema kuwa serikali ya Washington bado haina stratijia kamili ya kukabiliana na kundi hilo.
Habari ID: 3313196 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/11
Rais Barack Obama wa Marekani amesema kuwa, nchi hiyo haina vita na Uislamu, bali inapambana na watu wanaoupotosha Uislamu.
Habari ID: 2876869 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/21
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameeleza katika taarifa yake kuwa Waislamu watatu waliouawa hivi karibuni mjini Chapel Hill nchini Marekani walikuwa wakishiriki kwenye shughuli za utoaji misaada ya kibinadamu na ni wawakilishi wa thamani bora za uraia wa ulimwengu mzima.
Habari ID: 2851644 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/15