IQNA – Balozi wa Iran nchini Urusi (Russia), Kazem Jalali, alimkabidhi Askofu Mkuu wa Russia ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, wakati wa mkutano wao.
Habari ID: 3482569 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
Askofu Mkuu wa Vienna
TEHRAN (IQNA) – Askofu Mkuu wa Vienna anasema kumtusi Mtume Muhammad (SAW) pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu ni mambo ambayo hayawezi kuhalalishwa kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Habari ID: 3476652 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03
TEHRAN (IQNA)-Askofu wa kanisa moja nchini Kenya amesilimu pamoja na wafuasi wake kadhaa na kuligeuza kanisa lake kuwa msikiti.
Habari ID: 3471218 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/15