IQNA

Juzuu ya 2 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 2 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqarii wanne maarufu wa Iran ambao ni: Saeed Parvizi, Hossein Fardi, Mahdi Gholamnejad, na Jafar Fardi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja  mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.

 
 
 
 
 

 

 

 

.

Kishikizo: qiraa ya qurani ، ramadhani
Habari zinazohusiana