IQNA

Usomaji wa Surah Fajr Karibu na Kaaba Tukufu

21:23 - June 02, 2024
Habari ID: 3478916
IQNA - Qari wa Iran Arash Souri alisoma aya ya 27-30 ya Surah Fajr alipokuwa amesimama karibu na Kaaba Tukufu, huko Makka, mwishoni mwa Mei 2024.

Hapa ni tarjuma ya aya hizo tukufu

Ewe nafsi iliyo tua!  Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.  Basi ingia miongoni mwa waja wangu, Na ingia katika Pepo yangu.

Kishikizo: qiraa ya qurani
captcha