Mpango huo mkubwa ambao lengo lake kuu ni kutoa mafunzo ya teolojia ya Kiislamu, ni sehemu ya mipango mingine kadhaa inayochunguzwa na Jumuiya ya Kiislamu ya Uturuki ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule, ukumbi wa mikutano, klabu ya michezo na shule ya chekechea.
Uchunguzi wa maombi hayo ya kuasisi kituo cha Kiislamu nchini Ubelgiji utaanza tarehe 20 mwezi huu wa Novemba. 320557