Jumuiya hiyo imetangaza kwamba mashindano hayo yatafanyika katika sekta tatu za kusoma Qur’ani, utafiti wa masuala ya Qur’ani na wahudumu bora zaidi wa kitabu hicho kitukufu.
Jumuiya ya Qur’ani ya Afrika Kusini imetoa fomu kwa watu wanaotaka kushiriki kwenye mashindano hayo kupitia mtandao wake wa intaneti wenye anwani ifuatayo: quranunion.co.za 329650