Wizara ya Masuala ya Kidini ya Uturuki imetangaza kuwa mkutano huo utahudhuriwa na wasomi na wanafikra wa nchi zinazozungumza Kituruki na viongozi wa nchi nyingine za Kiislamu za Asia na Ulaya.
Mkutano huo wa siku tatu utahitimisha kazi zake kwa kutoa taarifa ya mwisho kuhusu matokeo ya uvumbuzi mpya wa kidini katika masuala ya kiutamaduni ya nchi za Asia na Ulaya. 397549