IQNA

Bunge la Uturuki lapitisha sheria ya kuhimiza uwekezaji wa Kiislamu

15:24 - February 27, 2011
Habari ID: 2086795
Bunge la Uturuki limepassha muswada wa sheria inayohimiza uwekezaji unaokwenda sambamba na misingi wa Kiislamu.
Tovuti ya Hurriyetdailynews imeripoti kuwa kwa mujibu wa sheria hiyo Banki ya Maendeleo ya Kiislamu IDB itatoa msaada ya kifedha kwa mashirika ya Uturuki ili yaweze kuwekeza kwa mujibu wa mbinu za Kiislamu.
Aidha kwa mujibu wa sheria hiyo kutaanzishwa mfumo wa ukaguzi na uratibu wa mashirika yatakayowekeza kwa mujibu wa mfumo wa kifedha wa Kiislamu.
753892
captcha