Mbali na mafunzo hayo, wataalamu na wanazuoni wa masuala ya kidini watazungumzia masuala mbalimbali ya Kiislamu na Qur'ani.
Mafunzo hayo huandaliwa kila mwaka na Hujjatul Islam wal Muslimeen Muntadhar Mahdi, mwanafunzi wa Jamiutul Mustafa (saw) al-Alamiya ambaye pia ni mwanazuoni mashuhuri katika mji wa Jalalpur.
Walio na hamu ya kushiriki mafunzo hayo wamealikwa kusajili majina yao kabla ya Julai 22. 1044477