Nuskha nyingine ya Qur'ani inayosemekana imeandikwa na Othman bin Affan ni miongoni mwa vitabu muhimu vya kihistoria vinavyoonyeshwa kwenye kibanda hicho. Licha ya kuwa hadi sasa kitengo cha vibanda vya kimataifa katika maonyesho hayo hakijafunguliwa rasmi, lakini kibanda hicho kimepokea wageni wengi kadiri kwamba wasisimamizi wa maonyesho hayo wamewaruhusu watembelee kibanda hicho na pia kingine cha Lebanon. 1056917