Shirika hilo lilitoa nakala hizo hapo jana katika karamu maalumu ya iftari kwa ushirikiano wa Wizara ya Elimu na Utamaduni ya Indonesia. Suhendra Wiryadinata, Waziri wa Elimu na Utamaduni pamoja na Mkuu wa Uhusiano wa Umma wa shirika hilo walihudhuria karamu hiyo na kutoa hutuba kuhusiana na fadhila za mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Katika mwezi huu mashirika mengi makubwa ya nchi hiyo huandaa futari na kutoa misaada kwa mayatima ili kunufaika na fadhila za mwezi huu. 1061903