TEHRAN (IQNA) – Kikao cha qiraa ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wanawake kimefanyika Tehran wakati wa kukaribia siku ya kukumbuka kuzaliwa Bibi Fatima Zahra SA
Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Bi. Shahrbani Amani wa Baraza la Kiislamu la Mji wa Tehran.