iqna

IQNA

IQNA – Makumbusho mapya yanayolenga kuhifadhi kumbukumbu adimu za Qiraa au usomaji wa Qur'ani wa maqari maarufu wa Misri yanatarajiwa kufunguliwa katika jengo la kihistoria la Maspero jijini Cairo, katika makao ya redio na televisheni ya taifa.
Habari ID: 3480812    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09

IQNA – Hatua ya mwisho ya toleo la pili la Tamasha la Usomaji wa Qur'ani kwa kuiga inaanza leo huko Qazvin, Iran, na waandaaji wametangaza majina ya wajumbe wa jopo la majaji.
Habari ID: 3480253    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22

IQNA – Qari wa Iran Mehdi Adeli hivi karibuni amesoma aya ya 144 ya Surah Al-Baqarah msikitini mjini Madina. Adeli ni mjumbe wa msafara wa Qur'ani wa Iran ambao unaandaa programu mbalimbali za Qur'ani kwa mahujaji katika msimu wa Hija mwaka huu wa 1445 Hijria Qamaria. Msafara huo ni maarufu kama Msafara wa Nur wa Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3478963    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/11

Qiraa ya Peponi
IQNA – Kinachofuata ni kisomo cha kuvutia cha Surah Al-Fatiha cha marehemu qari wa Misri Mustafa Ismail.
Habari ID: 3478956    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/09

Amir Hossein Anwari, qari wa Qur'ani katika Msafara wa Nur wa Hija ya 1445, alisoma aya za 197 hadi 199 za Surah Al-Baqarah na Surah Nasr wakati wa mkutano wa maafisa wasimamizi wa Hija nchini Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei mnamo Mei 6 jijini Tehran .
Habari ID: 3478798    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/09

IQNA - Marehemu qari wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad anajulikana katika ulimwengu wa Kiislamu kama mmoja wa wasomaji wakubwa wa Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3478734    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/25

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /21
TEHRAN (IQNA) – Abdel Aziz Akasha alikuwa qari wa Misri ambaye alipata umaarufu baada ya kuanzisha mtindo maalum katika usomaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476457    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Usomaji Qur'ani (Qiraa)
TEHRAN (IQNA) - Kanda za video zimesambazwa hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha usomaji wa aya za Qur'ani Tukufu wa marehemu Sheikh Mustafa Ismail aliyekuwa qarii bingwa wa Qur'ani Tukufu wa Misri
Habari ID: 3476046    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

Usomaji Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Ifuatayo ni klipi ya zamani ya marhum Qarii maarufu wa Qur'ani Tukufu wa Misri Ustadh Abdul Basit Abdul Samad akisoma aya za 103-104 za Sura Al-Imran.
Habari ID: 3475999    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

TEHRAN (IQNA)-Mvulana Mmisri mwenye umri wa miaka 9 ana kipaji cha kipekee cha kusoma Qur'ani Tukufu kiasi kwamba sasa amepewa lakabu ya 'Abdul Basit Mdogo".
Habari ID: 3475279    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22

TEHRAN (IQNA)- Wasomaji Qur'ani wanne Wairani wamesoma pamoja aya za 6 na 7 za Surah al Infitar.
Habari ID: 3474824    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Taha la Fashni alikuwa qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu na alikuwa pia ni mfuasi wa qiraa ya Sheikh Mustafa Ismail.
Habari ID: 3474672    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14

TEHRAN (IQNA)- Taha Ezzat ni kijana mwenye umri wa miaka 17 kutoka mkoa wa El Beheira Misri na amepata umashuhuri Misri na duniania kutokana na qiraa yake ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474594    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23

TEHRAN (IQNA)- Wasomaji wawili maarufu wa Qur'ani Iraq, Ali Al Khafafi na Hani al Khazali hivi karibuni wamesambaza klipu wakiwa wanasoma Sura Al Fatiha na Sura Ad Dhuha kwa mbinu ya Lami Maqam
Habari ID: 3474531    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/09

TEHRAN (IQNA)- Qarii Mashuhuri wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani katika sherehe iliyofanyika kwa mnasaba wa Milad un Nabi au maadhimisha ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474466    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni klipu ya Ustadh Ahmad Abulqasimi, mwalimu na qarii wa kimataifa Muirani akisoma Surat Al Fath imesambazwa.
Habari ID: 3474284    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11

TEHRAN (IQNA) - Mkurugenzi mpya wa Idhaa ya Qur'ani ya Radio ya Misri alisema programu maalum itarushwa na idhaa hiyo siku za usoni ambayo inaangazia qiraa nadra za Qur'ani ambazo ni za wasomaji Wamisri.
Habari ID: 3474222    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24

TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani alipotembelea ofisi za tovuti ya Al Balad.
Habari ID: 3474221    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24

TEHRAN (IQNA)- Qarii Yassri al Araq wa Iraq hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani katika sherehe za kuadhimisha kuanzishwa Jeshi la Kujitolea la Wananchi maarufu kama al Hashd al Shaabi.
Habari ID: 3474078    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Ahmed Ahmed Noaina alitembelea Bangladesh mwaka 2016 ambapo alishiriki katika mahafali kadhaa za Qur'ani.
Habari ID: 3474007    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/15