IQNA

Qiraa ya Qur'ani Wairani wakisoma pamoja

TEHRAN (IQNA)- Wasomaji Qur'ani Sayyid Mustafa Husseini na Sayyid Jasim Mousavi wamesambaza klipu inayonyesha wakiwa wanasoma aya za Sura Ad Dhuha kwa pamoja kwa mtindo wa qarii mashuhuri wa Misri marhum Sheikh Mohammad Siddiq El Minshawi.

  1. Naapa kwa mchana! 
  2. Na kwa usiku unapo tanda! 
  3. Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
  4. Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
  5. Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.

 

 

 

 

Kishikizo: qurani tukufu ، misri ، iranmo ، husseini
Habari zinazohusiana