iqna

IQNA

IQNA – Raia mmoja wa Argentina ameukumbatia Uislamu (amesilimu) katika Msikiti wa Mina uliopo katika jiji la Hurghada, nchini Misri.
Habari ID: 3481179    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/03

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481173    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Maasrawi, ambaye ameishi Malaysia kwa miaka kadhaa, ametangaza kukamilisha mradi wake wa pamoja na Taasisi ya Uchapishaji wa Qur’ani ya Restu.
Habari ID: 3481171    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Gavana wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amesema kuwa marehemu qari Sheikh Abulainain Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani na ataendelea kubaki kuwa fahari ya Misri.
Habari ID: 3481105    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19

IQNA – Misri imetangaza mashindano makubwa zaidi ya taifa ya televisheni yenye lengo la kugundua vipaji vipya vya usomaji wa Qur’ani.
Habari ID: 3481097    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/17

IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri amesisitiza umuhimu wa kuendeleza tovuti ya kimataifa ya Idhaa ya Qur’an Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481085    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/15

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa akili mnemba (Artificial Intelligence – AI) haina mamlaka ya kutoa maamuzi ya Kiislamu au fatwa.
Habari ID: 3481058    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09

IQNA – Mashindano ya tatu ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur’ani yanayoandaliwa na Msikiti Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri yatafanyika kwa ushirikiano na benki ya Kiislamu.
Habari ID: 3481046    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06

IQNA –Mihadhara kuhusu “Nafasi na Umuhimu wa Familia katika Sira ya Mtume Mtukufu Muhammad (SAW)” imefanyika katika misikiti mbalimbali nchini Misri.
Habari ID: 3481031    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/02

IQNA – Kundi la walimu na maqarii mashuhuri wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeandika barua ya wazi kwa maqari wa Misri, likiwataka wachukue msimamo dhabiti dhidi ya ukatili wa utawala wa Kizayuni huko Gaza na kusimama pamoja na watu wanyonge wa eneo hilo.
Habari ID: 3481022    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/30

IQNA – Jumamosi, tarehe 26 Julai 2025, ulimwengu wa Kiislamu uliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Muhammad Abdul Wahhab Al-Tantawi, gwiji wa usomaji wa Qur’ani katika enzi ya dhahabu ya Misri.
Habari ID: 3481006    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/27

IQNA – Mwanamke mkongwe kutoka Aswan, Misri, aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika kwa muda mrefu, hatimaye ameweza kutimiza ndoto yake ya kusoma Qur’ani Tukufu akiwa na umri wa miaka 76.
Habari ID: 3481000    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/26

IQNA – Mamlaka za Misri zimezindua mradi wa majaribio wa kutumia maeneo ya misikiti kwa elimu ya awali ya watoto chini ya makubaliano mapya ya ushirikiano kati ya Wizara ya Wakfu na Wizara ya Elimu.
Habari ID: 3480997    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25

IQNA – Taasisi ya Al-Azhar na Wizara ya Wakfu ya Misri zimemuenzi Sheikh Mahmud Ali Al-Banna, mmoja wa wasomaji wa Qur’ani mashuhuri wa karne ya 20, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo chake.
Habari ID: 3480978    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Katika jitihada za kuhifadhi urithi wa makari maarufu wa Qur'ani wa Misri na kutambua mchango wao wa kipekee, Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokea mali binafsi na vifaa vya kitamaduni vilivyokuwa mali ya Marehemu Sheikh Muhammad Ahmed Shabib.
Habari ID: 3480974    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Wizara ya Wakfu (Awqaf) ya Misri imetangaza kutayarishwa kwa mfululizo wa dokumentari zitakazoangazia misikiti muhimu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480960    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua wawakilishi katika toleo la 32 la mashindano ya kimataifa ya Qur'an nchini humo, pamoja na tarehe ya mtihani huo.
Habari ID: 3480959    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18

IQNA – Misri imeingia katika awamu mpya ya kudhibiti machafuko yanayohusiana na utoaji wa Fatwa (hukumu ya kidini), kwa kuandaa sheria mpya ya kuusimamia mchakato huo, kwa mujibu wa Ismail Duwaidar, mkuu wa Redio ya Qur’ani ya taifa hilo.
Habari ID: 3480953    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16

IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuzindua mashindano ya kwanza ya kitaifa ya mtandaoni ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3480946    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15

IQNA – Warsha yenye kichwa “Sanaa ya Uandikaji Nakala za Qur’an” ilifanyika siku ya Jumanne, Julai 9, pembeni mwa Maonyesho ya 20 ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria nchini Misri.
Habari ID: 3480920    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09