misri

IQNA

IQNA – Kupitia ukurasa wake wa Facebook, mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri, Sayed Sharara, amefungua dirisha la kipekee kuonesha maisha ya Waislamu nchini Japani.
Habari ID: 3481455    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/03

IQNA – Mitihani ya awali imeanza rasmi kwa washiriki wa kimataifa wanaojiandaa kushiriki katika Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani, yanayoandaliwa na Wizara ya Awqaf ya Misri, yaliyopangwa kufanyika mwezi Disemba 2025.
Habari ID: 3481449    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/02

IQNA – Mwana wa qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad (rahimahullah), ambaye sauti yake imehifadhiwa katika nyoyo za Waislamu duniani kote, amefariki dunia mjini Cairo siku ya Ijumaa, tarehe 31 Oktoba 2025.
Habari ID: 3481447    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/01

IQNA – Mwenyekiti wa Umoja wa Wanachuoni wa Qur'ani wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amempa heshima maalum Sheikh Mohammed Younis al-Ghalban, gwiji wa usomaji wa Qur'an.
Habari ID: 3481439    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31

IQNA – Kamati Kuu ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Port Said nchini Misri imetangaza kufunguliwa kwa usajili wa washiriki wa kimataifa kwa ajili ya toleo la tisa la mashindano hayo, litakalofanyika kwa heshima ya Qari maarufu Sheikh Mahmoud Ali Al-Banna.
Habari ID: 3481421    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/26

IQNA – Katika tukio la kihistoria lililopeperushwa kupitia kipindi cha televisheni cha Ahl Masr nchini Misri, tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono na mwanazuoni mashuhuri wa Al-Azhar, marehemu Sheikh Ahmed Omar Hashem, imewasilishwa kwa mara ya kwanza hadharani. Kazi hiyo ya miaka kumi imekamilika kabla ya kifo chake mapema mwezi huu.
Habari ID: 3481404    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/23

IQNA – Mradi wa kitaifa uitwao Miqraat al-Majlis (Usomaji wa Kikao) umezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kusahihisha usomaji wa Qur'an Tukufu.
Habari ID: 3481351    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/11

IQNA – Dr. Ahmed Omar Hashem, aliyewahi kuwa Rais wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wakuu wa taasisi hiyo, ameaga dunia alfajiri ya leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Habari ID: 3481335    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/07

IQNA – Katika kumbukumbu ya kifo chake, Kituo cha Fatwa cha Kimataifa cha Al-Azhar kimemuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi, akimtaja mtaalamu na msomi wa Misri aliyeaga dunia kama "Baba wa qaris" na ishara endelevu ya usomaji wa Qur’ani wa asili.
Habari ID: 3481297    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28

IQNA – Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary, mmoja wa maqari mashuhuri wa Misri, anakumbukwa kwa umahiri wake wa kusoma Qur’ani, huruma, na unyenyekevu.
Habari ID: 3481276    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kuwa Qur’ani Tukufu haioni tofauti kati ya mataifa na tamaduni kuwa chanzo cha mizozo, bali huzitambua kama fursa ya ushirikiano na maelewano.
Habari ID: 3481256    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/20

IQNA – Sheikh Abdel Fattah Taruti, qari mashuhuri wa Misri na mjumbe wa majopo ya majaji wa mashindano ya Qur’ani ya “Dawlat al-Tilawa”, amesema kwamba kila mshiriki katika mashindano hayo ni mshindi, hata ikiwa hatofika katika hatua ya mwisho.
Habari ID: 3481241    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/16

IQNA – Raia mmoja wa Argentina ameukumbatia Uislamu (amesilimu) katika Msikiti wa Mina uliopo katika jiji la Hurghada, nchini Misri.
Habari ID: 3481179    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/03

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481173    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Maasrawi, ambaye ameishi Malaysia kwa miaka kadhaa, ametangaza kukamilisha mradi wake wa pamoja na Taasisi ya Uchapishaji wa Qur’ani ya Restu.
Habari ID: 3481171    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Gavana wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amesema kuwa marehemu qari Sheikh Abulainain Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani na ataendelea kubaki kuwa fahari ya Misri.
Habari ID: 3481105    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19

IQNA – Misri imetangaza mashindano makubwa zaidi ya taifa ya televisheni yenye lengo la kugundua vipaji vipya vya usomaji wa Qur’ani.
Habari ID: 3481097    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/17

IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri amesisitiza umuhimu wa kuendeleza tovuti ya kimataifa ya Idhaa ya Qur’an Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481085    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/15

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa akili mnemba (Artificial Intelligence – AI) haina mamlaka ya kutoa maamuzi ya Kiislamu au fatwa.
Habari ID: 3481058    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09

IQNA – Mashindano ya tatu ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur’ani yanayoandaliwa na Msikiti Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri yatafanyika kwa ushirikiano na benki ya Kiislamu.
Habari ID: 3481046    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06