iqna

IQNA

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa akili mnemba (Artificial Intelligence – AI) haina mamlaka ya kutoa maamuzi ya Kiislamu au fatwa.
Habari ID: 3481058    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09

IQNA – Mashindano ya tatu ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur’ani yanayoandaliwa na Msikiti Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri yatafanyika kwa ushirikiano na benki ya Kiislamu.
Habari ID: 3481046    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06

IQNA –Mihadhara kuhusu “Nafasi na Umuhimu wa Familia katika Sira ya Mtume Mtukufu Muhammad (SAW)” imefanyika katika misikiti mbalimbali nchini Misri.
Habari ID: 3481031    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/02

IQNA – Kundi la walimu na maqarii mashuhuri wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeandika barua ya wazi kwa maqari wa Misri, likiwataka wachukue msimamo dhabiti dhidi ya ukatili wa utawala wa Kizayuni huko Gaza na kusimama pamoja na watu wanyonge wa eneo hilo.
Habari ID: 3481022    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/30

IQNA – Jumamosi, tarehe 26 Julai 2025, ulimwengu wa Kiislamu uliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Muhammad Abdul Wahhab Al-Tantawi, gwiji wa usomaji wa Qur’ani katika enzi ya dhahabu ya Misri.
Habari ID: 3481006    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/27

IQNA – Mwanamke mkongwe kutoka Aswan, Misri, aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika kwa muda mrefu, hatimaye ameweza kutimiza ndoto yake ya kusoma Qur’ani Tukufu akiwa na umri wa miaka 76.
Habari ID: 3481000    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/26

IQNA – Mamlaka za Misri zimezindua mradi wa majaribio wa kutumia maeneo ya misikiti kwa elimu ya awali ya watoto chini ya makubaliano mapya ya ushirikiano kati ya Wizara ya Wakfu na Wizara ya Elimu.
Habari ID: 3480997    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25

IQNA – Taasisi ya Al-Azhar na Wizara ya Wakfu ya Misri zimemuenzi Sheikh Mahmud Ali Al-Banna, mmoja wa wasomaji wa Qur’ani mashuhuri wa karne ya 20, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo chake.
Habari ID: 3480978    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Katika jitihada za kuhifadhi urithi wa makari maarufu wa Qur'ani wa Misri na kutambua mchango wao wa kipekee, Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokea mali binafsi na vifaa vya kitamaduni vilivyokuwa mali ya Marehemu Sheikh Muhammad Ahmed Shabib.
Habari ID: 3480974    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21

IQNA – Wizara ya Wakfu (Awqaf) ya Misri imetangaza kutayarishwa kwa mfululizo wa dokumentari zitakazoangazia misikiti muhimu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480960    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua wawakilishi katika toleo la 32 la mashindano ya kimataifa ya Qur'an nchini humo, pamoja na tarehe ya mtihani huo.
Habari ID: 3480959    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18

IQNA – Misri imeingia katika awamu mpya ya kudhibiti machafuko yanayohusiana na utoaji wa Fatwa (hukumu ya kidini), kwa kuandaa sheria mpya ya kuusimamia mchakato huo, kwa mujibu wa Ismail Duwaidar, mkuu wa Redio ya Qur’ani ya taifa hilo.
Habari ID: 3480953    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16

IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuzindua mashindano ya kwanza ya kitaifa ya mtandaoni ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3480946    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15

IQNA – Warsha yenye kichwa “Sanaa ya Uandikaji Nakala za Qur’an” ilifanyika siku ya Jumanne, Julai 9, pembeni mwa Maonyesho ya 20 ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria nchini Misri.
Habari ID: 3480920    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri, Dkt. Nazeer Mohammed Ayyad, ametoa taarifa ya kulaani kali dhidi ya tukio la kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na makundi ya walowezi wa Kizayuni, akieleza kuwa eneo hilo takatifu ni “urithi wa Kiislamu usiogawika wala kujadiliwa kwa namna yoyote.”
Habari ID: 3480916    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/08

IQNA – Makumbusho mapya yanayolenga kuhifadhi kumbukumbu adimu za Qiraa au usomaji wa Qur'ani wa maqari maarufu wa Misri yanatarajiwa kufunguliwa katika jengo la kihistoria la Maspero jijini Cairo, katika makao ya redio na televisheni ya taifa.
Habari ID: 3480812    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kwamba kuhifadhi Qur’ani Tukufu hakupaswi kuishia katika kurudia na kukariri pekee, bali kunapaswa kuwa mchakato wa makusudi unaoambatana na kutafakari maana ya aya.
Habari ID: 3480778    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02

IQNA-Mkuu wa Mamlaka ya Kitaifa ya Vyombo vya Habari ya Misri ametangaza mipango ya kuzindua Jumba la Makumbusho ya Wasomaji wa Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3480765    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31

IQNA – Chuo cha Kimataifa cha Awqaf nchini Misri kimezindua kozi yake ya kwanza ya mafunzo kwa walimu wa Qur’an, ikilenga mbinu bora za kuhifadhi na kufundisha ndani ya madrasah za jadi.
Habari ID: 3480747    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27

IQNA – Sheikh al-Sayyid Saeed, aliyefariki dunia Jumamosi, alijulikana kwa heshima kubwa kama “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), kutokana na usomaji wake wa kipekee wa Qur’an.
Habari ID: 3480739    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25