IQNA – Makumbusho mapya yanayolenga kuhifadhi kumbukumbu adimu za Qiraa au usomaji wa Qur'ani wa maqari maarufu wa Misri yanatarajiwa kufunguliwa katika jengo la kihistoria la Maspero jijini Cairo, katika makao ya redio na televisheni ya taifa.
Habari ID: 3480812 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kwamba kuhifadhi Qur’ani Tukufu hakupaswi kuishia katika kurudia na kukariri pekee, bali kunapaswa kuwa mchakato wa makusudi unaoambatana na kutafakari maana ya aya.
Habari ID: 3480778 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02
IQNA-Mkuu wa Mamlaka ya Kitaifa ya Vyombo vya Habari ya Misri ametangaza mipango ya kuzindua Jumba la Makumbusho ya Wasomaji wa Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3480765 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
IQNA – Chuo cha Kimataifa cha Awqaf nchini Misri kimezindua kozi yake ya kwanza ya mafunzo kwa walimu wa Qur’an, ikilenga mbinu bora za kuhifadhi na kufundisha ndani ya madrasah za jadi.
Habari ID: 3480747 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27
IQNA – Sheikh al-Sayyid Saeed, aliyefariki dunia Jumamosi, alijulikana kwa heshima kubwa kama “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), kutokana na usomaji wake wa kipekee wa Qur’an.
Habari ID: 3480739 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA – Qari maarufu wa Qur'ani nchini Misri, Sheikh Al-Sayyid Saeed, anayefahamika kwa lakabu ya “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda.
Habari ID: 3480734 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25
IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu ya Misri ametangaza uzinduzi wa mpango wa majira ya kiangazi kwa watoto katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480715 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 43 tangu kufariki kwa Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Hamdi al-Zamil, Wizara ya Wakfu ya nchi hiyo imesambaza tena baadhi ya qira'a zake katika tovuti rasmi ya wizara hiyo.
Habari ID: 3480685 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/14
IQNA – Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri yanatarajiwa kufanyika mwezi Desemba 2025, ambapo toleo la mwaka huu litafanyika kwa kumbukumbu ya Qari maarufu hayati Shahat Muhammad Anwar, mmoja wa wasomaji wenye ushawishi mkubwa wa Qur'ani nchini Misri na ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
Habari ID: 3480670 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/11
IQNA- Ifuatayo ni qiraa (kisomo) ya aya 12 ya Surah Maryam ikisomwa na qarii wa Misri Sheikh Abdulaziz Ali Faraj.
Habari ID: 3480654 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/08
IQNA-Maktaba na Makavazi ya Kitaifa ya Misri, inayojulikana kama Dar Al-Kutub, inahifadhi mkusanyiko wa kipekee wa hati za Qur’ani za kale na za kihistoria, baadhi yake zikiwa na zaidi ya miaka elfu moja.
Habari ID: 3480647 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06
IQNA – Mtoto wa Misri aliyezaliwa bila pua na macho amefanikiwa kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu
Muhammad, ambaye ana umri wa miaka 11, pia ana kipaji cha kipekee katika kusoma Qur’ani kwa kuiga mitindo ya maqari mashuhuri.
Habari ID: 3480621 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/01
IQNA – Sayed Mekawy alikuwa mtu mashuhuri wa Misri katika nyanja za Ibtihal (nyimbo za kidini) na muziki, ambaye urithi wake wa kisanaa na kiroho uko hai miaka 28 baada ya kifo chake.
Habari ID: 3480583 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/23
IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri.
Habari ID: 3480503 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Nchini Misri, Wizara ya Wakfu imeanzisha kampeni ya kitaifa ya kusafisha na kuandaa misikiti kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480259 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23
IQNA – Al-Azhar ya Misri inakaribia hatua za mwisho za mradi wake wa kipekee wa hati ya Qur'ani, huku sehemu kubwa ya kazi ikiwa imekamilika, kulingana na Mohamed Al-Duwaini, Naibu wa Al-Azhar.
Habari ID: 3480235 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kufanya programu mbalimbali za Qur'ani na kidini wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480229 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/16
IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri yatafanyika mwezi ujao.
Habari ID: 3480095 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22
IQNA – Ukumbi wa Kituo cha Dar-ul-Qur'an katika msikiti wa mji mkuu mpya wa utawala wa Misri ni miongoni mwa sehemu zinazo tembelewa zaidi katika eneo hilo.
Habari ID: 3480080 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19
Fasihi
IQNA – Mohammad Anani alikuwa profesa wa tarjama au tafsiri na fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Cairo na mmoja wa watafsiri au watarjumi mashuhuri zaidi katika ulimwengu wa Kiarabu. Lugha ya Qur'ani inaonekana dhahiri katika tafsiri zake, kana kwamba Qur'ani inapita kwa upole kupitia maandiko yote aliyoyatafsiri.
Habari ID: 3480072 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/18