IQNA – Msomaji mashuhuri wa Ibtihal kutoka Misri na jaji wa mashindano ya Qur’ani ametangaza kuwa atatayarisha kasida yenye maudhui ya Qur’ani ili kukabiliana na mashambulizi ya yaliyofanywa na qari mmoja kutoka Kuwait dhidi ya Iran na mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3482162 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25
IQNA – Makumbusho ya Kitaifa ya Ustaarabu wa Misri yamefanikiwa kurekebisha na kulinda baadhi ya nakala adimu za Qur’ani Tukufu zilizoandikwa kwa mkono.
Habari ID: 3482127 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08
IQNA – Idara ya Shule ya Kituo cha Kiislamu cha Al‑Azhar nchini Misri imebuni aplikesheni mpya ya kielimu iitwayo “Usomaji wa Qur’ani kwa Njia ya Kielektroniki” kwa ajili ya wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3482116 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/04
IQNA – Mitihani ya hatua ya awali ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa la Misri la Kuhifadhi na Kufahamu Qur’ani Tukufu yanatarajiwa kuanza siku ya Jumapili, tarehe 5 Aprili.
Habari ID: 3482101 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/29
IQNA — Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuwatuma wasomaji wa Qur’ani na maimamu katika nchi 22 wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481953 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/18
IQNA – Siku ya Jumamosi, tarehe 14 Februari, iliadhimishwa kumbukumbu ya kifo cha qari na msomaji mashuhuri wa ibtihal wa Misri, marehemu Sheikh Sayyid Mohamed al‑Naqshbandi, mmoja wa nguzo kuu za ibada na hisia za Mwezi Mtukufu Ramadhani nchini Misri na ulimwengu wa Kiarabu.
Habari ID: 3481940 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15
IQNA – Ingawa kipindi cha vipaji vya Qur’ani cha Misri “Dawlat El‑Tilawah" bado hakijafikia hatua ya fainali, Maqari au wasomaji wawili waliobainika kwa umahiri wao katika kipindi hicho walitunukiwa zawadi katika hafla rasmi iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Cairo.
Habari ID: 3481917 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/11
IQNA – Omar Ali Awad ametangazwa na kutunukiwa tuzo ya “Tawi la Dhahabu” katika shindano la vipaji vya Qur’ani lijulikanalo kama “Dawlet El Telawa (Hali ya Usomaji)” nchini Misri.
Habari ID: 3481903 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08
IQNA – Toleo la 9 la Mashindano ya Kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu na Ibtihal ya Port Said lilianza rasmi Ijumaa katika mji wa bandari wa Port Said, Misri.
Habari ID: 3481875 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/31
IQNA – Msimamizi mkuu wa mashindano ya vipaji vya Qur’ani nchini Misri, maarufu kwa jina “Dawlat al-Tilawa”, ametangaza kuwa msimu mpya wa kipindi hicho kitaanza rasmi Novemba 2026.
Habari ID: 3481784 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/08
IQNA – Kipindi cha 12 cha mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Dawlat al-Tilawa nchini Misri kiligeuka safari ya kiroho na kihisia, ambapo simulizi binafsi ziliungana na sauti za mbinguni, zikazalisha athari ya kina iliyogusa nyoyo za kila msikilizaji.
Habari ID: 3481773 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06
IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri wa Misri, amechapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa Facebook video inayoonyesha mwanamke Mmarekani akisilimu katika moja ya misikiti nchini Marekani.
Habari ID: 3481769 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05
IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa hatua ya mwisho ya mashindano.
Habari ID: 3481730 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28
IQNA – Wachezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Misri wamesoma aya za Qur’ani Tukufu kwa sauti ya pamoja kabla ya mechi dhidi ya Zimbabwe katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Habari ID: 3481714 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/25
IQNA-Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani yatafanyika katika jimbo la Menoufia, Misri, kwa kumbukumbu ya dada watatu wadogo wa Kimasri waliopoteza maisha katika ajali. Mashindano haya yamepangwa kufanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani (Februari–Machi, 2026).
Habari ID: 3481711 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/24
IQNA- Wakazi wa kijiji cha Tabloha, jimbo la Menoufia, wamemzawadia gari kijana mwenye ulemavu wa machi Misri, Abdul Rahman Mahdi, baada ya kushinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu yaliyoandaliwa na Wizara ya Awqaf ya Misri.
Habari ID: 3481697 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22
IQNA--Katika kipindi cha wiki hii cha televisheni ya Qur’an nchini Misri, Dawlat al-Tilawa, sehemu maalum ilitengwa kumuenzi marehemu Qari mashuhuri Sheikh Mustafa Ismail kwa huduma zake za Qur’ani.
Habari ID: 3481691 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/21
Mashindano haya yatafanyika katika kipengele cha kuhifadhi Qur’an kwa wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka vituo vya mafunzo ya kuhifadhi Qur’an kote Misri.
Habari ID: 3481685 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20
IQNA – Mkusanyiko wa vitu binafsi vya qari maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad ni miongoni mwa maonyesho katika Jumba la Makumbusho ya Maqari wa Qur’an nchini Misri.
Habari ID: 3481684 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20
IQNA – Jumba la kwanza kabisa la Maqari wa Qur’ani limefunguliwa katika Kituo cha Utamaduni na Uislamu cha Misri kilichopo katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala karibu na Cairo.
Habari ID: 3481672 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/17