misri

IQNA

IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481642    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

IQNA – Katika vipindi vipya vya shindano la vipaji vya Qur’ani nchini Misri linaloitwa “Dawlat al-Tilawa” , washiriki walionyesha uwezo wao wa kusoma na kuhifadhi aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481634    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09

IQNA – Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri yamefunguliwa tarehe 6 Disemba 2025 kwa qira’a ya qari mashuhuri wa Misri, Mahmoud Shahat Anwar.
Habari ID: 3481632    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08

IQNA – Sheikh Ahmed Mansour ni qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri anayehudumu katika kamati ya majaji wa mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481631    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08

IQNA – Toleo la tisa la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani na Utenzi wa Kidini la Port Said linatarajiwa kuanza mwishoni mwa Januari 2026 likihusisha ushiriki wa zaidi ya nchi 30, waandaaji wametangaza.
Habari ID: 3481628    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08

IQNA – Usajili wa wanafunzi wa kigeni wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar kwa mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Port Said umeanza rasmi.
Habari ID: 3481614    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA – Hatua ya mwisho ya mashindano ya 32 ya Qur’ani Tukufu nchini Misri itafanyika katika ardhi hiyo ya Kiarabu kwa ushiriki wa washindani 158 kutoka nchi 72.
Habari ID: 3481607    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/03

IQNA – Umoja wa Makari na Wahifadhi wa Qur’ani Tukufu nchini Misri umetangaza kuundwa kwa kamati maalum itakayoshughulikia ufuatiliaji wa utendaji wa makari na kushughulikia malalamiko yanayohusu usomaji wao.
Habari ID: 3481602    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02

IQNA – Marehemu Abdul Basit Abdul Samad, msomaji maarufu wa Qur’ani kutoka Misri na ulimwengu wa Kiislamu, ameheshimiwa katika kipindi cha televisheni cha Dawlet El Telawa nchini Misri
Habari ID: 3481572    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26

IQNA-Mahmoud Al-Toukhi, msomaji mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, ametoa nakala ya usomaji wake wa Tarteel kwa Idhaa ya Qur’ani ya Kuwait.
Habari ID: 3481569    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26

IQNA – Kipindi cha televisheni cha Qur’ani Tukufu nchini Misri, “Dawlet El Telawa”, kimepata mafanikio makubwa baada ya kurushwa sehemu nne pekee.
Habari ID: 3481568    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26

IQNA – Vikundi vya usomaji Qur’an katika misikiti ya Mkoa wa Kaskazini mwa Sinai, Misri, vimepokelewa kwa shangwe na raia wa Kimasri.
Habari ID: 3481561    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/23

IQNA – Mtaalamu mashuhuri wa Qur’an amesema kuwa wanafunzi wa usomaji wa Qur’an wanapaswa kutumia angalau miaka 15 kuiga na kuumudu mitindo ya wasomaji maarufu wa Qur’an kabla ya kuanza kuendeleza mbinu yao binafsi ya kipekee.
Habari ID: 3481543    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/20

IQNA – Mwanamke kutoka mji wa Qena, Misri, ameweza kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu akiwa na umri wa miaka 80, licha ya kutokuwa na elimu ya kusoma na kuandika.
Habari ID: 3481541    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19

IQNA – Kipindi cha kwanza cha televisheni Dawlat al-Tilawa kilizinduliwa Ijumaa nchini Misri, kikiwa safari mpya ya kugundua vipaji vinavyochipukia katika kisomo cha Qur’ani na Tajweed.
Habari ID: 3481534    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/18

IQNA – Kipindi cha televisheni Dawlet El Telawa, mashindano maalum ya vipaji vya usomaji wa Qur’ani nchini Misri, kimemkumbuka Qari maarufu Sheikh Mahmud Khalil al‑Hussary.
Habari ID: 3481526    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/16

IQNA – Qari mashuhuri wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, amemuelezea marehemu Sheikh Abdul Fattah Sha’sha’i kuwa ni msomaji wa Qur’an aliyebeba sauti ya kipekee na ya kifahari, iliyodhihirisha ukubwa wa Qur’an na kuasisi mtindo wa kipekee wa qira’a.
Habari ID: 3481512    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/14

IQNA – Kipindi cha televisheni kiitwacho “Dawlat al Telawah”, ambacho ndicho shindano kubwa zaidi cha vipaji vya usomaji na tartiil ya Qur’ani, kimepangwa kurushwa kupitia vituo vya satelaiti vya Misri.
Habari ID: 3481511    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/13

IQNA – Kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Abdul Fattah al‑Sha’sha’i ni ukumbusho wa moja kati ya wasomaji Qur'ani mashuhuri zaidi wa Misri, ambaye unyenyekevu wake na ustadi wa tajwīd ulimpa jina la “Nguzo ya Qiraa ya Qur’ani.”
Habari ID: 3481505    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/12

IQNA – Kupitia ukurasa wake wa Facebook, mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri, Sayed Sharara, amefungua dirisha la kipekee kuonesha maisha ya Waislamu nchini Japani.
Habari ID: 3481455    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/03