TEHRAN (IQNA)- Rais Abdul Fattah el-Sisi wa Misri ametaka kipaumbele maalumu kipewe kwa tafsiri na ufahamu wa Qur’ani katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3474676 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/15
TEHRAN (IQNA)- Rais Abdel Fattah el Sisis wa Misri ameonya Jumapili kuhusu uchocheaji vurugu nchini humo huku maandamano dhidi ya serikali yakiripotiwa maeneo kadhaa nchini humo.
Habari ID: 3473206 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/27
Mahakama ya Misri leo imetoa hukumu ya mwisho dhidi ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Muhammad Mursi na viongozi wengine wa Harakati ya Ikhwanul Muslimeen iliyopigwa marufuku nchini humo.
Habari ID: 3315286 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani hukumu ya kifo dhidi ya rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi na kusema kesi hiyo haikuzingatia taratibu za mahakama.
Habari ID: 3304307 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17