Magaidi wa kitakfiri kutoka kundi linalojiita Dola la Kiislamu la Iraq na Sham (Daesh) wamebomoa misikiti na maeneo kadhaa matakatifu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni katika mkoa unaokumbwa na vita wa Nainawa nchini Iraq.
Habari ID: 1426174 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/06
Ayatullah Khatami
Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema, 'kundi la kigaidi la Daesh ni silaha mpya ya Marekani na madola mengine ya kibeberu inayotumiwa kwa lengo la kuvuruga usalama wa eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 1422882 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/27