iqna

IQNA

ibrahim
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim / 12
TEHRAN (IQNA) – Nabii Ibrahim (AS), kama mjumbe wa Mwenyezi Mungu, alitumia njia maalum ya kielimu ambayo imejikita katika kutenda dhidi ya tabia chafu ambazo zimekuwa mazoea kwa baadhi ya watu.
Habari ID: 3477263    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/10

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim / 11
TEHRAN (IQNA) – Kuanzia siku mtu anazaliwa, anaanza kufanya mambo na mwenzake, ili kujua ni kitu gani cha kuchezea, ni vazi gani, lipi … ni bora zaidi.
Habari ID: 3477238    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/04

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim / 10
TEHRAN (IQNA) – Katika kuchunguza vitabu vilivyoandikwa kuhusu mbinu na kanuni za elimu, tunakumbana na kiasi kikubwa cha mbinu za elimu na katika mbinu zote hizo, majaribio na mitihani ni njia muhimu kwa elimu.
Habari ID: 3477226    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/02

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim/2
TEHRAN (IQNA) – Ushauri au mashauriano ni njia mojawapo ya kuheshimu upande mwingine na hili linaweza kuonekana katika njia ya elimu ya Nabii Ibrahim (AS), hasa kuhusu mwanawe.
Habari ID: 3477059    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu / 13
TEHRAN (IQNA) – Ni sunna ya Mwenyezi Mungu huwajaribu waja wake na mitihani hii wakati mwingine ni rahisi na wakati mwingine migumu. Hakuna mtu mwingine ambaye angeweza kustahimili mitihani ambayo Mwenyezi alimpa Nabii Ibrahim (AS).
Habari ID: 3476252    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/15

Qur'ani Tukufu Inasemaje /40
TEHRAN (IQNA) – Kuna nafasi tatu ambazo kila Mtume wa Mwenyezi Mungu amepewa angalau moja kati ya hizo na utume unaotokana na nafasi hiyo.
Habari ID: 3476236    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/12

Shakhsia Katika Qur’ani /16
TEHRAN (IQNA) – Ismail alikuwa mtoto wa kwanza wa Nabii Ibrahim –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-(AS). Baada ya kuzaliwa, Ismail alipelekwa Makka pamoja na mama yake Hajar kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Uhamaji huu ulikuwa mwanzo wa historia iliyotangaza kuwasili kwa Uislamu.
Habari ID: 3476124    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21

Shakhsia Katika Qur'ani Tukufu / 14
TEHRAN (IQNA) – Watu wenye kutumia akili na wenye kutegemea mantiki hutumia mijadala au midahalo kushawishi au kuwakinaisha mwengine kuhusu mitazamoa yao. Mfano wa kihistoria wa mijadala ambayo Nabii Ibrahim –Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake-(AS) alikuwa nayo na makundi tofauti.
Habari ID: 3476065    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10

Sura za Qur'ani/ 6
TEHRAN (IQNA)- Surah An'am inarejelea kisa cha Nabii Ibrahim AS na utume wa watoto wake na inatanguliza dini ya Kiislamu kuwa ni mwendelezo wa njia na malengo ya mitume waliotangulia.
Habari ID: 3475347    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

TEHRAN (IQNA)- Niyyah au nia ni msingi muhimu wa ibada katika Uislamu na nukta hii inapata umuhimu mkubwa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475102    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/09