Aya za Machipuo/ 2
TEHRAN (IQNA) - Wakati Wairani na mataifa mengine kadhaa wakisherehekea siku kuu ya Nowruz, kuashiria mwanzo wa majira ya machipuo, ni wakati muafaka wa kuashiria aya za Qur'ani Tukufu kuhusu kuhuishwa ardhi katika majira ya kuchipua baada ya msimu wa majira ya baridi kali. Kwa hakika machipuo nidalili za rehema na uwezo wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476737 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21
Aya za Machipuo/ 1
TEHRAN (IQNA)- Kwa mnasaba wa kuwasili kwa siku Nowruz ambazo ni maadhimisho ya kuwadia mwaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia sambamba na kuanza msimu wa machipuo na kuhuishwa ardhi, IQNA inasambaza aya za Qur’ani Tukufu zinazoashiria machipuo kwa sauti za wasomaji maarufu wa Qur’ani Tukufu katika Ulimwengu Kiislamu. Katika sehemu ya kwanza, tumewaandalia qiraa ya Aya ya 48 ya Surah Al-Furqan kwa sauti ya Ustadh Shaban Abdulaziz Sayad wa Misri.
Habari ID: 3476723 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18