Banki ya KCB (Kenya Commercial Bank) nchini Kenya imetangaza kuwa itaanzisha rasmi mfumo kamili wa Kiislamu katika huduma za banki mwezi wa Agosti huku ikipanga kueneza huduma hiyo katika eneo lote la Afrika Mashariki.
Habari ID: 1434697 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/31