halal - Ukurasa 3

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Mji mkuu wa Kenya, Nairobi leo ni mwenyeji wa mkutano wa siku mbili ambao unachunguza namna nchi hiyo inaweza kunufaika na uchumi wa Kiislamu au uchumi Halal ambao unashika kasi duniani.
Habari ID: 3470929    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/10

IQNA-Kenya imeanzisha mkakati wa huduma za 'Halal' za kitalii kwa ajli ya ongezeko la watalii Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470832    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/04

IQNA-Kenya itakuwa mwenyeji wa maonyesho ya kwanza ya kimatiafa ya bidhaa na huduma halal i eneo la bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Habari ID: 3470653    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/05

Mashirika yasiyo ya kiserikali nchini Malaysia yametoa wito wa kususiwa bidha za chokleti za Shirika la Cadbury baada ya uchunguzi wa DNA kubaini kuwa kuna vipande vidogo vidogo sana vya nyama ya nguruwe katika bidhaa za shirika hilo la kutengeneza chokleti.
Habari ID: 1412085    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/29