Akizungumza na waandishi habari kuhusu hati ya "Patineh", Bani Ahmadi amesema kuwa, "Hati katika Patineh" ni athari za kaligrafia zinazoandika juu ya ngozi".
Ameongeza kuwa, "athari nyingi za Quran zimeandikwa kwa hati kama vile Nastalikh, Shekaste na grafiki".
Kaligrafia ya Quran ni sanaa ya kale katika ulimwengu wa Kiislamu iliyoenea kutoka Indonesia hadi Senegal. Sanaa hii inahesabiwa kama mojawapo wa sanaa muhimu katika ustaarabu adhimu wa Kiislamu. 317211