Mufti wa Misri amesema kuwa jumuiya hiyo inapaswa kuwashirikisha wawakilishi wa Waislamu wanaokuwa wachache katika nchi au maeneo yao kote duniani kwa lengo ya kushughulikia masuala ya Waislamu kwenye maeneo hayo.
Amesisitiza kuwa jumuiya hiyo itawasaidia Waislamu wanaoishi katika maeneowanapokuwa jamii ya wachache na kutatua kisheria matatizo yao mbalimbali katika jamii zisizokuwa za Kiislamu.
Ali Juma ameongeza kuwa jumuiya hiyo itakuwa daraja ya mawasiliano ya kuwakurubisha Waislamu wanaoishi katika jamii zisizokuwa za Kiislamu na taasisi rasmi, jumuiya za Kiislamu na taasisi za kielimu katika ulimwengu wa Kiislamu. 372255