Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA katika maonyesho hayo, atlasi hiyo imewahi kutunukiwa zawadi ya kitabu cha mwaka cha Jamhuriya Kiislamu ya Iran na vile vile zawadi ya kimataifa ya kitabu cha mwaka duniani.
Atlasi hiyo ni athari ya kipekee na yenye thamani kubwa kwa mtazami ya mpangilio na chapa.
Atlasi ya Historia ya Kiislamu inauzwa kwa bei ya dola 45 katika maonyesho ya vitabu ya Tehran. 402756