IQNA

Tafsiri ya Imam Musa Sadr katika maonyesho ya Qur'ani

13:33 - August 12, 2010
Habari ID: 1971814
Taasisi ya Kiutamaduni na Utafiti ya Imam Musa Sadr imewasilisha tafsiri ya Qurani ya Imam Musa Sadr katika Maonyesho ya 18 ya Qur'ani Tukufu mjini Tehran.
Taasisi hiyo imesema juzuu tano za tafsiri ya Imam musa Sadr zina anwani ya 'Fikra nyingine katika Qur'ani na Tafsiri', 'Tafsiri ya Sura al Qadr', 'Tafsiri ya Sura Ikhlas', 'Tafsiri ya Suran An Nas na Falaq' na 'Tafsiri ya Sura Takathur'.
Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, taasisi hiyo imeshiriki katika maonyesho ya kimataifa ya Qurani ya Tehran kwa mara ya kwanza mwaka huu. 631327
captcha