Kwa mujibu wa gazeti la Al Riyadh, warsha hiyo ilianza tarehe 11 Agosti kwa himaya ya Jumuiya ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu ya mji wa Buraida na itaendelea hadi tarehe 14 Septemba.
Warsha hii ni katika shughuli za Qur'ani Tukufu za Jumuiya ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu ya mji wa Buraida. Washiriki wa warsha hiyo wanajifunza mbinu za kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
636648