Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, maonyesho hayo yanafanyika katika kituo cha vijana cha Elimu na Imani cha Jumuiya ya Kiislamu ya Lebanon na yataendelea hadi tarehe 20 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Maonyesho hayo ambayo yanafanyika kwa mwaka wa pili mfululizo yanajumuisha vitabu mbalimbali vya Kiislamu.
Waandalizi wanasema lengo la maonyesho hayo katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kuwahimiza vijana wasome vitabu vya Kiislamu.
640211