IQNA

Ujumbe wa 'Redio ya Qurani' ya Iran ni kueneza ufahamu wa Qurani

19:25 - September 01, 2010
Habari ID: 1985830
'Redio ya Qurani' ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni chombo cha habari ambacho jukumu lake maalumu ni kusambaza mafunzo na ufahamu wa Qurani Tukufu.
Mohammad Muntazari mhariri mkuu wa kipindi cha "Kijani anayefuata Qurani" katika Redio ya Qurani amemwambia mwandishi wa IQNA kuwa chombo hicho cha habari kinatengeneza vipindi mbali mbali kwa lengo la kueneza mafundisho ya Qurani.
Amesema watayarishjai wa vipindi katika redio hiyo wenyewe ni wataalamu wa masuala ya Qurani jambo ambalo limepelkea vipindi vya viwango vya juu kutengenezwa. 646396
captcha