IQNA

Tunisia, mwenyeji wa kongamano la mazingira la nchi za Kiislamu

15:40 - September 29, 2010
Habari ID: 2004183
Kongamano la nne wa mawaziri wa mazingira wa nchi za Kiislamu limepangwa kufanyika nchini Tunisia tarehe 5 hadi 6 Oktoba.
Kongamano hilo linasimamiwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu OIC na litahudhuriwa na mawaziri na wawakilishi wa nchi za Kiislamu na pia wawakilishi wa jumuiya 30 za Kimataifa.
Kongamano hilo litajadili masuala ya mazingira katika nchi za Kiislamu.
Kongamano la tatu la mawaziri wa mazingira wa nchi za Kiislamu lilifanyika mwaka 2008 katika mji mkuu wa Morocco Rabat. 665483

captcha