Kwa mujibu wa gazeti la Uturuki la Hurriyet, maonyesho haya yamefunguliwa rasmi katika hafla iliyohuduriwa na Mkuu wa Jumba la Makumbusho la Staatliches Claudius Muller na wakuu wa ubalozi wa Uturuki nchini Ujerumani.
Akizungumza katika sherehe za ufunguzi Muller amesema, 'maonyesho ya athari za Kiislamu Munich yalianza mwaka 1910 na kwamba mwaka huu maonyesho hayo yanafanyika kuadhimisha mwaka wa 100 tangu kuanzishwa.
681899